LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
Kwa matokeo haya ya kidato cha nne, wanafunzi wengi wamepata divison zero yenye F zote. Hii kwamba hawawezi kusoma, wavivu, au matatizo ya shule? Hata kama ni hivyo, basi naona kusoma ni kugumu sana. Ukimwona mtu alipata au amepata division one, basi anasitahili pongezi.
Wana JF, munasemaje?
Wana JF, munasemaje?