Wenye ujuzi mnisaidie kuelewa hii kitu jamani. Ni nini historia yake? Ilikuaje yaani? Mbona imekuwa shida hivi?
Na joto lote hili watu wananyonyana tu. Kuna maumbile tofauti tofauti yenye tabia tofauti; watu wanamung'unya chumvi tu.
Pamoja na madaktari kusema kuwa maumbile ya kike yana kawaida ya kujisafisha yenyewe, yaani kuna liquid huwa, karibu muda wote, inatoka ndani kuja nje kupitia uke; bado watu wanalamba na kufakamia chumvi tu kama wamerogwa.
Pamoja na wale waliopata bahati mbaya ya kutoa harufu mbaya ukeni mwao kujifukizia manukato mengi yenye harufu kali sana kwa lengo la kuficha hiyo harufu; bado watu wanafyodoa chumvi tu kwa ulimi bila kujali madhara ya manukato haya hatari.
Nini chanzo na nani muanzilishi?
Na joto lote hili watu wananyonyana tu. Kuna maumbile tofauti tofauti yenye tabia tofauti; watu wanamung'unya chumvi tu.
Pamoja na madaktari kusema kuwa maumbile ya kike yana kawaida ya kujisafisha yenyewe, yaani kuna liquid huwa, karibu muda wote, inatoka ndani kuja nje kupitia uke; bado watu wanalamba na kufakamia chumvi tu kama wamerogwa.
Pamoja na wale waliopata bahati mbaya ya kutoa harufu mbaya ukeni mwao kujifukizia manukato mengi yenye harufu kali sana kwa lengo la kuficha hiyo harufu; bado watu wanafyodoa chumvi tu kwa ulimi bila kujali madhara ya manukato haya hatari.
Nini chanzo na nani muanzilishi?