Leo nimeona nijikite kwenye mambo ambayo Kama tukiendelea ku criticize kila kitu mwisho wake tutakua tinazalisha taifa lalamishi na nisilotambua wajibu wake kwa Taifa na kutegemea nchi tu itufanyie kila kitu...
Ni kawaida kwa Mtanzania kwenda dukani akaamua kununua Ommo badala ya FOMA Au ni rahisi kwa Mtanzania wa sasa kusema matunda ya Bagamoyo hakuna kiwanda Au Machungwa ya Muheza tanga hayana kiwanda na kulaumu serikali je kikijengwa kiwanda niwangapi tutaacha Juice ya Ceres Au Delmonte na kununua juice ya Muheza?
Tinatakiwa kuanzisha movement ya kupenda vya kwetu hata hao waliofikia hatua ya juu ya ubora nikutokana na support kubwa ya ndani halafu wanje nao watapenda.
Nimeshawishika katakana nawengi kutotambua mchango wetu ktk ujenzi wa taifa na kwenda kupeleka mchango wetu mdogo kwenye nchi jirani Au nje kwa either ignorance Au kutopata elimu ya uraia na uzalendo
We zetu hata kuongea lugha tu ya kigeni ameona anaidhalilisha lugha yake ila sisi tunanunua Hadi bidhaa I think we need to wake up and start this movement.
Mfaransa umepotea tu muulize excuse me do you speak English atakuuliza Excuse me do you speak French je bidhaa atanunua yakwako?
Tujifunze kupenda vya kwetu Hongera Azam na wengineo wajasiria Mali
Ni kawaida kwa Mtanzania kwenda dukani akaamua kununua Ommo badala ya FOMA Au ni rahisi kwa Mtanzania wa sasa kusema matunda ya Bagamoyo hakuna kiwanda Au Machungwa ya Muheza tanga hayana kiwanda na kulaumu serikali je kikijengwa kiwanda niwangapi tutaacha Juice ya Ceres Au Delmonte na kununua juice ya Muheza?
Tinatakiwa kuanzisha movement ya kupenda vya kwetu hata hao waliofikia hatua ya juu ya ubora nikutokana na support kubwa ya ndani halafu wanje nao watapenda.
Nimeshawishika katakana nawengi kutotambua mchango wetu ktk ujenzi wa taifa na kwenda kupeleka mchango wetu mdogo kwenye nchi jirani Au nje kwa either ignorance Au kutopata elimu ya uraia na uzalendo
We zetu hata kuongea lugha tu ya kigeni ameona anaidhalilisha lugha yake ila sisi tunanunua Hadi bidhaa I think we need to wake up and start this movement.
Mfaransa umepotea tu muulize excuse me do you speak English atakuuliza Excuse me do you speak French je bidhaa atanunua yakwako?
Tujifunze kupenda vya kwetu Hongera Azam na wengineo wajasiria Mali