b2kkalwani
Member
- Jul 6, 2014
- 14
- 2
For me kuna browser inaitwa maxthone ni kali balaaa sifa zakeHabari wakuu naomba mnijuze kama kuna web browser iliyo na speed na yenye extension nyingi kushinda google chrome
nataka nijaribu browser mpya maana hii chrome nimetumia miaka mingi sasa japo iko safi na inanitimizia kila nachokitaka
1. Multwindow maanake Unaweza kusign na na mtu ukishamaliza asione ulichokuwa unafanya
2. Kwangu mm sipendi matangazo hapa ndo komesho ya Ads zote hazitaonekana inablock juukwaju
3 iko simple sana sio nzito kwenye streaming life mpira movie
Iko private sana
Nimeitumia tangu 2012 tafuta uichukue iko poa sana sana
Kama unatumia simu uc browser is best opera chrome akina firefox hawaoni ndan
.