Hivi kuna watu bado wanasomea Ualimu wa Sanaa?

Wajinga hawajahi kuisha kuna dogo angu alimaliza six nkamuambia achana na degree nenda kasome diploma ya ufundi mana qualifications zake zilikuwa zina match hio ilikuwa 2015 dogo alitaka kwenda kusoma ualimu degree nilimzuia kwenda degree na badala yake achague course yoyote ya ufundi aliona namzingua nili force iwe ivo mana mzigo ungekuwa kwangu, Dogo kamaliza Diploma kala shavu taasisi ya umma wenzie waliokimbilia ualimu wanahenya mtaani
 
Wajinga hawajahi kuisha kuna dogo angu alimaliza six nkamuambia achana na degree nenda kasome diploma ya ufundi mana qualifications zake zilikuwa zina match hio ilikuwa 2015 dogo alitaka kwenda kusoma ualimu degree nilimzuia kwenda degree na badala yake achague course yoyote ya ufundi aliona namzingua nili force iwe ivo mana mzigo ungekuwa kwangu, Dogo kamaliza Diploma kala shavu taasisi ya umma wenzie waliokimbilia ualimu wana henya mtaani
Angekuwa na akili angekushukuru sana. Diploma ya ufundi akiajiriwa ana marupurupu mengi kuliko mwalimu mwenye degree. Na mishahara hulingana au huyo wa technical diploma anakuwa juu zaidi. Naongea kitu ambacho nina experience nacho.
 
Wajinga hawajahi kuisha kuna dogo angu alimaliza six nkamuambia achana na degree nenda kasome diploma ya ufundi mana qualifications zake zilikuwa zina match hio ilikuwa 2015 dogo alitaka kwenda kusoma ualimu degree nilimzuia kwenda degree na badala yake achague course yoyote ya ufundi aliona namzingua nili force iwe ivo mana mzigo ungekuwa kwangu, Dogo kamaliza Diploma kala shavu taasisi ya umma wenzie waliokimbilia ualimu wana henya mtaani
Upo sahihi mkuu.. mafundi saivi mtaani hawalali njaa..
 
Wajinga hawajahi kuisha kuna dogo angu alimaliza six nkamuambia achana na degree nenda kasome diploma ya ufundi mana qualifications zake zilikuwa zina match hio ilikuwa 2015 dogo alitaka kwenda kusoma ualimu degree nilimzuia kwenda degree na badala yake achague course yoyote ya ufundi aliona namzingua nili force iwe ivo mana mzigo ungekuwa kwangu, Dogo kamaliza Diploma kala shavu taasisi ya umma wenzie waliokimbilia ualimu wana henya mtaani
Umemsaidia sana
 
Angekuwa na akili angekushukuru sana. Diploma ya ufundi akiajiriwa ana marupurupu mengi kuliko mwalimu mwenye degree. Na mishahara hulingana au huyo wa technical diploma anakuwa juu zaidi. Naongea kitu ambacho nina experience nacho.
Mkuu dogo mpaka kesho ana nishukuru sana, Japo tuition fees kwa diploma iko juu ila nilipambana kwa sasa dogo anakunja parefu kuzidi hata wenzie walio ajiliwa na degree za ualimu wa science na hana mkopo loan board wala nini
 
Mkuu dogo mpaka kesho ana nishukuru sana, Japo tuition fees kwa diploma iko juu ila nilipambana kwa sasa dogo anakunja parefu kuzidi hata wenzie walio ajiliwa na degree za ualimu wa science na hana mkopo loan board wala nini
Kumbe ashaajiriwa eeeh! Nilikuwa sijasoma vizuri nilijua aliendelea kung'ang'ania ualimu. Alifanya safi sana, Mimi niliacha masomo ya physics na chemistry sasa napata akili niko form four mwezi wa saba, basi nikakomaa tu kwenda Advance ila nilijua kuwa nilibugi kwenda Advance sikuwa tu na namna masomo ya kunipeleka technical college niliyapuuza.

Nilipopata mpenyo nikaghairi kwenda Chuo kikuu nikaingia kwenye ajira . Wenzangu na degree zao za education wanatia huruma sasa
 
Kumbe ashaajiriwa eeeh! Nilikuwa sijasoma vizuri nilijua aliendelea kung'ang'ania ualimu.
Alifanya safi sana, Mimi niliacha masomo ya physics na chemistry sasa napata akili niko form four mwezi wa saba, basi nikakomaa tu kwenda Advance ila nilijua kuwa nilibugi kwenda Advance sikuwa tu na namba...
Mkuu ulichanga karata zako poa sana, Hawa vijana shida kwa sasa wako emotionally sana, Wanasahau hata post za degree ni chache sana kwa sasa compare tu Diploma na certificates
 
Maisha ni fumbo sana. nilifanya mitihani ya veta (CBET) private candidate mwaka 2007 - 2009 nikiwa kabla sijamaliza form 4, Baadae nikamaliza Elimu ya sekondari na baadae tena baada ya miaka 7 nikamaliza hadi hadi degree. sikukaa hata hata mtaani nikaajiriwa kwa vyeti vya Veta na sasa hivi nakula maisha sana tuu

Asante Veta, Veta inekua Mwanga wa maisha yangu

nawashauri vijana wasome ufundi.
 
Hata kama Waunga Mkono juhudi watapinga lakini ukweli ni kwamba tatizo hapa sio ualimu especially linapokuja suala la Walimu wa Sayansi!

Siwezi kumlaumu dogo aliyeenda Ualimu mwaka 2015 hata 2016 kwa sababu Utawala wa JK uliona umuhimu wa walimu!

Ni kutokana na kuona umuhimu huo ndio mwaka 2010 alibadilisha hadi madaraja ili hatimae Walimu wenye degree walipwe almost the same na watumishi wa idara zingine za serikali wenye digrii!!

Hapa ndipo Mshahara wa Mwalimu wa Sayansi kwa mfano, ukawa sawa or almost sawa na mshahara wa Daraja E kwa watumishi wa umma! Daraja E ni watu waliosoma taalamu za kisayansi excluding doctors and nurses.

Na kwa kuona umuhimu huo huo, ndio maana JK baada ya kuona uhaba mkubwa kupindukia wa walimu wa sayansi, ndipo akaanzisha # years Special Diploma (Science & Maths) huku madogo wakiwa guaranteed na ajira! Alifanya hivi baada ya kuona wanaoenda kusoma shahada ya Ualimu wa Sayansi ni wachache sana, ndipo wakaona bora madogo wadakwe mara tu wakishamaliza O-Level!!

Na hawa tunaowaona kama leo wamepotea, walikuwa wanaona Walimu walivyokuwa wanadaka ajira fasta enzi za JK!

Kaja Magu,yote hayo kaona upumbavu! Hata ile special diploma kaifuta kwa madai wale madogo ni vilaza tu!

Hivi ni kwa namna gani Mwalimu wa Sayansi anaweza kuwa mtaani kwenye nchi yenye uhaba mkubwa wa walimu wa sayansi?!

Hawa tunaowaona kama wamepotea kwao ilikuwa rahisi sana kupotea kwa sababu wakati wanaenda ualimu walikuwa wanaona wale waliomaliza ualimu walivyokuwa wanalamba ajira fasta!!

Na hata hao walimu wa Arts, am sure ingekuwa JK angeendelea kuwaajiri sema tu angewapeleka primary schools; na hilo alishalisema mapema kwamba walimu wa arts wamejaa sana mashuleni kwahiyo kuanzia sasa hata kama una degree utaenda primary schools ingawaje mshahara ungebaki ule ule wa mwalimu wa sekondari!

Na hali hii itaturudisha kule kule! Wakati enzi za JK watu walikuwa wanaona poa tu kwenda kusoma ualimu hata kama wamefaulu vizuri, kuanzia sasa watu watakwepa sana kwenda kusoma ualimu kama ilivyokuwa miaka kadhaa iliyopita! Na kufyatuana tunaendelea kufyatuana, matokeo yake, in the next few years, shule zitakumbwa tena na uhaba mkubwa wawalimu hata hao wa sanaa!!
 
Hata kama Waunga Mkono juhudi watapinga lakini ukweli ni kwamba tatizo hapa sio ualimu especially linapokuja suala la Walimu wa Sayansi!

Siwezi kumlaumu dogo aliyeenda Ualimu mwaka 2015 hata 2016 kwa sababu Utawala wa JK uliona umuhimu wa walimu!

Ni kutokana na kuona umuhimu huo ndio mwaka 2010 alibadilisha hadi madaraja ili hatimae Walimu wenye degree walipwe almost the same na watumishi wa idara zingine za serikali wenye digrii!!

Hapa ndipo Mshahara wa Mwalimu wa Sayansi kwa mfano, ukawa sawa or almost sawa na mshahara wa Daraja E kwa watumishi wa umma! Daraja E ni watu waliosoma taalamu za kisayansi excluding doctors and nurses.

Na kwa kuona umuhimu huo huo, ndio maana JK baada ya kuona uhaba mkubwa kupindukia wa walimu wa sayansi, ndipo akaanzisha # years Special Diploma (Science & Maths) huku madogo wakiwa guaranteed na ajira! Alifanya hivi baada ya kuona wanaoenda kusoma shahada ya Ualimu wa Sayansi ni wachache sana, ndipo wakaona bora madogo wadakwe mara tu wakishamaliza O-Level!!

Na hawa tunaowaona kama leo wamepotea, walikuwa wanaona Walimu walivyokuwa wanadaka ajira fasta enzi za JK!

Kaja Magu,yote hayo kaona upumbavu! Hata ile special diploma kaifuta kwa madai wale madogo ni vilaza tu!

Hivi ni kwa namna gani Mwalimu wa Sayansi anaweza kuwa mtaani kwenye nchi yenye uhaba mkubwa wa walimu wa sayansi?!

Hawa tunaowaona kama wamepotea kwao ilikuwa rahisi sana kupotea kwa sababu wakati wanaenda ualimu walikuwa wanaona wale waliomaliza ualimu walivyokuwa wanalamba ajira fasta!!

Na hata hao walimu wa Arts, am sure ingekuwa JK angeendelea kuwaajiri sema tu angewapeleka primary schools; na hilo alishalisema mapema kwamba walimu wa arts wamejaa sana mashuleni kwahiyo kuanzia sasa hata kama una degree utaenda primary schools ingawaje mshahara ungebaki ule ule wa mwalimu wa sekondari!

Na hali hii itaturudisha kule kule! Wakati enzi za JK watu walikuwa wanaona poa tu kwenda kusoma ualimu hata kama wamefaulu vizuri, kuanzia sasa watu watakwepa sana kwenda kusoma ualimu kama ilivyokuwa miaka kadhaa iliyopita! Na kufyatuana tunaendelea kufyatuana, matokeo yake, in the next few years, shule zitakumbwa tena na uhaba mkubwa wawalimu hata hao wa sanaa!!
Upo sahii kabisa....!Utawala unapo badirika,kuna mambo hayapewi tena kipaumbele hasa yanayo achwa na mtangulizi au utawala uliyopita.Wanaoingia kwa wakati huo,wanakuja na mambo yao...!Kuna haja ya kutungiwa sheria kwa kila jambo linaloanzishwa especially linalogusa maisha ya watu.Kama cyo hivyo hapa kuna kupotezeana muda na kuharibu future za wa watu...!
 
Maisha ni fumbo sana. nilifanya mitihani ya veta (CBET) private candidate mwaka 2007 - 2009 nikiwa kabla sijamaliza form 4, Baadae nikamaliza Elimu ya sekondari na baadae tena baada ya miaka 7 nikamaliza hadi hadi degree. sikukaa hata hata mtaani nikaajiriwa kwa vyeti vya Veta na sasa hivi nakula maisha sana tuu

Asante Veta, Veta inekua Mwanga wa maisha yangu

nawashauri vijana wasome ufundi.
Wakuu naona ufundi uu unatajwa tu ila wengn hatujui ni upi utajwe busi tufaham
 
Form 6 mnaoenda kuchagua course kuweni makini. Sikupangii cha kusomea Ila angalia mda wako na tija.Toka 2015 walimu hawa hawajawahi pata ajira. Kuna reserve mtaani malori na malori. Najua wengone mnasomea mana wanapata na loans pia. Maisha ni muda ndugu zangu.
Upo sahihi but ujatoa option kwa wanafunz wa arts wasome course gan Kama n tatizo la ajira lipo kwa course zote
 
Back
Top Bottom