Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Wapo,niwataje?baada ya kufatilia nyuzi nyingi na mada nyingi zinazoanzishwa jf na wana jf........
hadi najiulizaga hivi humu jf kuna watoto wa kishua ambao tupo nao humu ndanii wanaotumia hili jukwaaa ninaposema watoto wa kishuaa nina maana mambo safi
Kama wapo basi wale ambao ni obese na wako secluded na society hivyo chimbo lao ni jf kujiliwaza.baada ya kufatilia nyuzi nyingi na mada nyingi zinazoanzishwa jf na wana jf........
hadi najiulizaga hivi humu jf kuna watoto wa kishua ambao tupo nao humu ndanii wanaotumia hili jukwaaa ninaposema watoto wa kishuaa nina maana mambo safi
Sio watoto wa kishua tu hata Washua we yewe wamo.baada ya kufatilia nyuzi nyingi na mada nyingi zinazoanzishwa jf na wana jf........
hadi najiulizaga hivi humu jf kuna watoto wa kishua ambao tupo nao humu ndanii wanaotumia hili jukwaaa ninaposema watoto wa kishuaa nina maana mambo safi
Sio wote jamani, wengine sisi wasaka nyoka tuHumu
Kila mtu ana nyumba kali
Kila mtu ana gari
Kila mtu ni mkuu
Humu wote wa kishua
hahahaVipi mzee unataka kukopa nn tiririka
Hata sisi wa Kwamtogole?Mbona jf hakuna makapuku, humu wote mambo safi, mboga Saba, hi daddy hi mommy....
Basi wewe msure, mimi ni wa mboga moja Huku Kwamtogole.
baada ya kufatilia nyuzi nyingi na mada nyingi zinazoanzishwa jf na wana jf........
hadi najiulizaga hivi humu jf kuna watoto wa kishua ambao tupo nao humu ndanii wanaotumia hili jukwaaa ninaposema watoto wa kishuaa nina maana mambo safi