heeeeHiyo ni roho mbaaaaya na ubahili unakusumbua.
Ukiwa na mwanamke lazima umuhudumie,
1. Chakula.
2. Umlipie kodi ya ghetto.
3. Umpe pesa ya kununua nguo.
4. Pesa ya vipodozi.
5. Kila mwisho wa wiki mpe hela aende saluni akabadili mitindo tofauti.
6. Kifanya tabia mbaya umpe angalau hela ya shukrani kama " asante kwa penzi lako tamu mpenzi wangu " Tshs: 50,000/= na zaidi.
7. Umkatie bima ya afya kwa mwaka.
8. Mtafutie kazi kama hana....
NB : haijalishi demu ni Malaya au katulia.
Ndiyo hivyo.....heeee
Kwani kuna tundu lakuzini nala kufanyia mapenzi hadi lugha ziwe tofautiUlazima upo kwa mwenye ulazima kutegemeana na mulivyokubaliana kabla kuzini kwenu.