GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,864
Kama ipo katika Katiba ya nchi naomba hicho Kifungu kiwekwe hapa hadharani au kama ipo katika maandiko ya Vitabu vitakatifu vya Biblia na Quran basi nitafurahi pia hayo maandiko yawekwe hapa ili tusiojua tuweze kujua.
Unamtongoza Mwanamke na mnakubaliana wenyewe mkafanye mapenzi kisha mkishamaliza tu utasikia anaanza kukuambia kuwa anaomba Pesa / Hela na mfano ukisema huna anaanza kukuambia kuwa ulivyomchafua ina maana hata hapati Sabuni?
Kutoa Hela / Pesa kwa Mpenzi wako baada ya kumaliza kufanya Mapenzi ni lazima, hiari au haipo?
Nawasilisha.
Unamtongoza Mwanamke na mnakubaliana wenyewe mkafanye mapenzi kisha mkishamaliza tu utasikia anaanza kukuambia kuwa anaomba Pesa / Hela na mfano ukisema huna anaanza kukuambia kuwa ulivyomchafua ina maana hata hapati Sabuni?
Kutoa Hela / Pesa kwa Mpenzi wako baada ya kumaliza kufanya Mapenzi ni lazima, hiari au haipo?
Nawasilisha.