Take note kua haina maana kua wanawake wooote wazuri ni vilaza..... Kumbuka kua masomo yanayompleka mtu Chuo ni yale ambayo tayari alishajenga foundation toka huko nyuma.... kama ni Science, Arts, Economics na the like. Hilo la Uhandisi pia lina ukweli ndani yake.... Yale masomo hayataki lele mama, kwamba uende ukashinde wajitazama kwenye kioo... Uende ukafanye shopping kuangalia which clothes will look sexy on you.... yoote hio ikiwa imesukumwa na the attention anayopokea katika jamii hasa from the opposite sex. Unapokua huna walezi/wazazi wakukuweka katika mstari kwa kukukazania umuhimu wa kujenga future na kwamba beuty is there to stay uwe mvumilivu... Yaweza kabisa haribu mwelekeo wa one's future.
Wanawake woooote uwe mzuri ama mbaya twapenda sifa (mradi zisikithiri) toka from the opposite sex once in a while katika jamii yako... hasa zilo postive. Na twajua jinsi binti anapokua mzuri pale anapokua anavosumbuliwa na vijana huko mtaani kwa kutoongozwa na kusifiwa ni mzuri. In some ways hii yaweza mpunguzia concetration katika masomo ukifanananisha na yule ambae hasumbuliwi kabisa ana nafasi kubwa saana katika masomo than the other.... How ever hii sio absolute.