Hivi kuna ukweli wanawake wazuri sana huwa hamnazo kichwani?

Beauty is in the eyes of the beholder! Mzuri kwako kwa mwingine wa kawaida tu... Na kila mtu ana criterias zake za ku define uzuri! Pia, asiye nazo kichwani si ni chizi (retard) huyo?

Vipi kama mwanamke unaemwona wewe nje ni mzuri sana, ila kichwani hazichaji kwa betri wala kwa sola?? Bado utamwita mzuri? Au utamwita tu mrembo?
 
Eee ! Ndiyo PJ ! Utafiti lazima ufanywe, tena na uanze mara moja! Na sisi wazee wa baraza tunalisimamia hilo tena kwa kiherehere!. Haya fasta tunaanza na Wema Sepetu, Lulu alafu Irene Uwoya ajiandae.

na Faraja Kotta Nyalandu
 
Mi naona wenye uzuri na mvuto wa sura mara nyingi wanakuwa wazito[slow learners]. Ila uzuri wa shepu au complexion..mh..vice versa is true
 
Kuna sehemu nimesema kuna tofauti kubwa sana kati ya kufanya vizuri darasani na uwezo wa kufikiri, kupambanua na kuamua mambo, na hapa ndipo hasa ninapopaongelea mimi
 
Hii ina ukweli based on personal experience. Lakini hata wanaume handsome ni wajinga fulani (Kama wana bahati maana wengi pia huishia kuwa ....)
 
Take note kua haina maana kua wanawake wooote wazuri ni vilaza..... Kumbuka kua masomo yanayompleka mtu Chuo ni yale ambayo tayari alishajenga foundation toka huko nyuma.... kama ni Science, Arts, Economics na the like. Hilo la Uhandisi pia lina ukweli ndani yake.... Yale masomo hayataki lele mama, kwamba uende ukashinde wajitazama kwenye kioo... Uende ukafanye shopping kuangalia which clothes will look sexy on you.... yoote hio ikiwa imesukumwa na the attention anayopokea katika jamii hasa from the opposite sex. Unapokua huna walezi/wazazi wakukuweka katika mstari kwa kukukazania umuhimu wa kujenga future na kwamba beuty is there to stay uwe mvumilivu... Yaweza kabisa haribu mwelekeo wa one's future.

Wanawake woooote uwe mzuri ama mbaya twapenda sifa (mradi zisikithiri) toka from the opposite sex once in a while katika jamii yako... hasa zilo postive. Na twajua jinsi binti anapokua mzuri pale anapokua anavosumbuliwa na vijana huko mtaani kwa kutoongozwa na kusifiwa ni mzuri. In some ways hii yaweza mpunguzia concetration katika masomo ukifanananisha na yule ambae hasumbuliwi kabisa ana nafasi kubwa saana katika masomo than the other.... How ever hii sio absolute.

hapo ni kweli wanawake wengi wazuri kichwani hawanazo sana nikichukulia mfamo UDOM KOZI ZA uhandisi utakuta kuna wanawake wacha sana ukilinganisha na kozi nyingine zisizohitaji kuumiza kichwa sana kama wanaosoma masomo ya biashara idadi ya warembo kule ni kubwa.
 
hapo ni kweli wanawake wengi wazuri kichwani hawanazo sana nikichukulia mfamo UDOM KOZI ZA uhandisi utakuta kuna wanawake wacha sana ukilinganisha na kozi nyingine zisizohitaji kuumiza kichwa sana kama wanaosoma masomo ya biashara idadi ya warembo kule ni kubwa.
Tazama sociology, mass com na education pia
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom