Hivi kuna taratibu zozote za kujianzishia kabila lako jipya na ukalitungia jina?

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Mfano, wazazi wanakabila tofauti.
Nikaamua kutokubaliana na zote kisha nikatunga kabila jipya kabisa au mchanganyiko wa Makabila mawili. Kisha watoto wangu wote na wajukuu wote na wajukuu wa wajukuu wakatumia kabila hilo hilo.

Naamini haya Makabila yetu yalianzia kwenye nyumba za watu.
Nikiamua kuanzisha na mimi langu jipya inawezekana? Au milango imeshafungwa karne hizi....

Najaribu kuwaza...
Karibu..
 
Najiandaa kuwa mgombea huru wa urais. Miongoni mwa mambo nitakayoyafanyia mapinduzi makubwa ni
1. Elimu,
2. Jeshi la Polisi
3. Makabila na vilugha vyake. Neno "ukabila"litabigwa marufuku kutumika nchi nzima, wote ni Watanzania tu. Najua itachukua muda na watu kuliona ni jambo dpgo lakini lina repercussions kubwa sana.

Ukabila una athari kwenye utendaji kazi, una athari kwenye ndoa na unaleta unyonge wakati mwingine pale inapoonekana kabila moja ni superior kuliko lingine. Unaathiri ugawaji wa rasilimali, ukabila unaondoa fairness kwa baadi ya watu, hususan kwa wahalifu. Polisi wakimuona "mkurya" then wanaongeza probability ya kumuona mtuhumiwa ni mkosaji. Nitafuta ukabila.
 
Najiandaa kuwa mgombea huru wa urais. Miongoni mwa mambo nitakayoyafanyia mapinduzi makubwa ni
1. Elimu,
2. Jeshi la Polisi
3. Makabila na vilugha vyake. Neno "ukabila"litabigwa marufuku kutumika nchi nzima, wote ni Watanzania tu. Najua itachukua muda na watu kuliona ni jambo dpgo lakini lina repercussions kubwa sana.

Ukabila una athari kwenye utendaji kazi, una athari kwenye ndoa na unaleta unyonge wakati mwingine pale inapoonekana kabila moja ni superior kuliko lingine. Unaathiri ugawaji wa rasilimali, ukabila unaondoa fairness kwa baadi ya watu, hususan kwa wahalifu. Polisi wakimuona "mkurya" then wanaongeza probability ya kumuona mtuhumiwa ni mkosaji. Nitafuta ukabila.
Vip kuhusu udini
 
Mfano, wazazi wanakabila tofauti.
Nikaamua kutokubaliana na zote kisha nikatunga kabila jipya kabisa au mchanganyiko wa Makabila mawili. Kisha watoto wangu wote na wajukuu wote na wajukuu wa wajukuu wakatumia kabila hilo hilo.

Naamini haya Makabila yetu yalianzia kwenye nyumba za watu.
Nikiamua kuanzisha na mimi langu jipya inawezekana? Au milango imeshafungwa karne hizi....

Najaribu kuwaza...
Karibu..


Ndiyo unaweza kabisa, na ndivyo Wazungu walivyofanya hapa kwetu, haya yote mnayoyaita Makabila, Wazungu ndiyo walioyaanzisha, kwa maana ya kuchukuwa Makundi mbali mbali yaliyokuwepo tangu mwanzo kuyaweka pmj, kuchora mpaka wa Kijiografia na kuyapa jina kama Wachaga, Wahaya, Wasukuma, au sijui Wagogo!
 
Man kabila halianzishwi na mtu mmoja. Ni jamii ya watu katika eneo husika wanakusanyika na kuweka makubaliano fulani na pia taratibu fulani.
 
Mtakuwa mnaongea lugha gani?
Kuhusu lugha usihofu kabisa.
Zipo familia mkuu kiswahili hiki hiki wanakimodify ukifika huwezi kuelewa wanaongea nini hadi ukae muda mrefu.
Lugha kama kiswahili chenyewe kimekopakopa kila kona. Naweza kuamua lugha kuwa mchanganyiko wa Kiingereza na kiswahili kwa style ya kipekee
 
Man kabila halianzishwi na mtu mmoja. Ni jamii ya watu katika eneo husika wanakusanyika na kuweka makubaliano fulani na pia taratibu fulani.
Ukiifuatilia historia za Makabila yetu mengine yalianzia kama ukoo, huo ukoo unamuanzilishi.
 
Najiandaa kuwa mgombea huru wa urais. Miongoni mwa mambo nitakayoyafanyia mapinduzi makubwa ni
1. Elimu,
2. Jeshi la Polisi
3. Makabila na vilugha vyake. Neno "ukabila"litabigwa marufuku kutumika nchi nzima, wote ni Watanzania tu. Najua itachukua muda na watu kuliona ni jambo dpgo lakini lina repercussions kubwa sana.

Ukabila una athari kwenye utendaji kazi, una athari kwenye ndoa na unaleta unyonge wakati mwingine pale inapoonekana kabila moja ni superior kuliko lingine. Unaathiri ugawaji wa rasilimali, ukabila unaondoa fairness kwa baadi ya watu, hususan kwa wahalifu. Polisi wakimuona "mkurya" then wanaongeza probability ya kumuona mtuhumiwa ni mkosaji. Nitafuta ukabila.
Mkuu ninachokiona hapa ni uoga tu usiwe na Shaka. Hawa watanzania wakiwa na elimu sahihi mambo ya Makabila hayawezi kuwa kikwazo.
Ukabila ni tatizo la kurithi ujima....
Mtu anaejitambua hawezi kuja na story za Ukabila.
Dunia nzima makabila yapo kwa nini Ukabila uwe shida Afrika au Tanzania tu. Kipaumbele chako cha kufuta Makabila hakina mantiki mkuu. Funguka zaidi...
 
Back
Top Bottom