Hivi Kuna Siri Gani Hapa Jamani?

Hivi Kuna Siri Gani Hapa Jamani?

Wana JF, inafika wakati tuwe na utaratibu wa kuelimishana na kueleweshana mambo mbalimbali, hii ni forum ya jamii ambayo inaruhusu kila member wake aweke maoni, mapendekezo na ushauri wake humu. Mimi mwenyewe naipenda sana hii blog kwani siku haipiti bila kupitipitia humu angalau kujua ni kitu gani kinaendelea humu duniani. Anyaway tuachane na haya.

Naomba niulize maswali yafuatayo katika huku kubadilisha management ya Move en pick.

1. je kubadilisha jina kila mara kuna faida gani kwetu sisi watanzania?
2. Je ni hotel zote huwa zinafanya hivyo?
3.Je hii ina faida gani katka uchumi wa nchi?
4.kwa wasiojua maana na dhana nzima ya management tutaweza kuwaeleza nini wakajua?

Je huoni kama kubadilisha badilisha majina kunaweza kuipotezea umaarufu wake wa awali?

naombeni kama kuna mwenye uelewa mzuri kidogo anape mwanga.

Nawasilisha....



UKIJUA WAJUA MWELEWESHE ASIYEJUA AKIJUA WAMEJUA
 
unajitahidi kuwaongelea,ebu tupe na kastori ka KILIMANJARO KEMNPISKI kuitwa HYATT REGENCE!

kama hiyo hujaelewa hata sintaangaika tena, bora nifanye kitu kingine chenye maana, :lol:
 
Hapo hakuna siri yoyote. Kila kitu kiko wazi. Nini hujakielewa hapo? Mwenye macho haambiwi tazama. Hapo ni wenye nchi wanakula nchi yao kiulaini na sisi watazamaji tutaishia kutumbua mimacho na kupiga makelele na mwisho tutanyamaza tu!
 
Wakuu msiwe mnapotosha jamii kwa kusema chochote tuu mnavyofikiria nyinyi? habari ni kwamba hotel imebadilisha manegement, kuna hotell management campanies mbalimbali duniani na mojawapo ni hiyo movenpick, kempinski, sheraton ,accor, hilton na nyingine nyingi ambazo zingine hazimiliki hotel ila zinasaign mikataba na wamiliki wa hotel ili watumie mfumo wa management yao, hivyo basi mmiliki wa hotel anaweza kubadilisha management yoyote inayolipa au inayopendwa na wataliii, kumbukeni, hii ni service industry, unatakiwa kuzalisha anachotaka mgini, au mteja nasio unachotaka au unachoweza kuzalisha wewe, hapo basi juzi juzi kilimanjaro imebadilisha management yake kutoka kwa kempinski baada ya muda wao wa mkataba kumalizika na akasigni na HYATT, huyo nae kaona asign na serena, kumbuka katika mbuga zetu nyingi kule serena imetawala, sasa wameeingia mjini, cha muhuimu ni kwamba, je wanabadilisha wamiliki au wamiliki wanabadilisha management kuendana na jinsi wanavyotaka kutoa kile mateja anachokitaka, au ndio tunafuata mkumbo eti mmiliki wa hotel akibadilisha management anayoitaka eti nameuza au unakwepa kodi, fanyeni uchunguzi kabla ya kusema, unaweza kuathiri watu wengi sio wote wanajua kupembua hapa, wengine ndio kwanza form four, unaweza kuwalisha matango katika paper , tehteh
Nime zi highlit hizo nyekundu na hapo ndio u form four wako unapoonekana,
Hebu tuambie na haya yafuatayo tukiachilia mbali southern sun
1. Mobitel, Buzz, tigo
2. Vodacom, vodafone
3. Celtel, zain, airtel
4. Sportsman, Portsman
5. nk nk..
 
Nime zi highlit hizo nyekundu na hapo ndio u form four wako unapoonekana,
Hebu tuambie na haya yafuatayo tukiachilia mbali southern sun
1. Mobitel, Buzz, tigo
2. Vodacom, vodafone
3. Celtel, zain, airtel
4. Sportsman, Portsman
5. nk nk..


WALE WALE :lol:
 


DAR ES SALAAM SERENA HOTEL


:juggle::juggle::juggle::nerd::nerd::nerd::nerd::juggle::juggle::juggle:


Yote yana mwisho sadam h, gadaff, mubarakh, ben aly hawakujua!

eti enhee bora unaonesha subira :lol: :juggle:
 
wakuu msiwe mnapotosha jamii kwa kusema chochote tuu mnavyofikiria nyinyi? Habari ni kwamba hotel imebadilisha manegement, kuna hotell management campanies mbalimbali duniani na mojawapo ni hiyo movenpick, kempinski, sheraton ,accor, hilton na nyingine nyingi ambazo zingine hazimiliki hotel ila zinasaign mikataba na wamiliki wa hotel ili watumie mfumo wa management yao, hivyo basi mmiliki wa hotel anaweza kubadilisha management yoyote inayolipa au inayopendwa na wataliii, kumbukeni, hii ni service industry, unatakiwa kuzalisha anachotaka mgini, au mteja nasio unachotaka au unachoweza kuzalisha wewe, hapo basi juzi juzi kilimanjaro imebadilisha management yake kutoka kwa kempinski baada ya muda wao wa mkataba kumalizika na akasigni na hyatt, huyo nae kaona asign na serena, kumbuka katika mbuga zetu nyingi kule serena imetawala, sasa wameeingia mjini, cha muhuimu ni kwamba, je wanabadilisha wamiliki au wamiliki wanabadilisha management kuendana na jinsi wanavyotaka kutoa kile mateja anachokitaka, au ndio tunafuata mkumbo eti mmiliki wa hotel akibadilisha management anayoitaka eti nameuza au unakwepa kodi, fanyeni uchunguzi kabla ya kusema, unaweza kuathiri watu wengi sio wote wanajua kupembua hapa, wengine ndio kwanza form four, unaweza kuwalisha matango katika paper , tehteh

pumbavu kabisa
 
Wana JF, inafika wakati tuwe na utaratibu wa kuelimishana na kueleweshana mambo mbalimbali, hii ni forum ya jamii ambayo inaruhusu kila member wake aweke maoni, mapendekezo na ushauri wake humu. Mimi mwenyewe naipenda sana hii blog kwani siku haipiti bila kupitipitia humu angalau kujua ni kitu gani kinaendelea humu duniani. Anyaway tuachane na haya.

Naomba niulize maswali yafuatayo katika huku kubadilisha management ya Move en pick.

1. je kubadilisha jina kila mara kuna faida gani kwetu sisi watanzania?
2. Je ni hotel zote huwa zinafanya hivyo?
3.Je hii ina faida gani katka uchumi wa nchi?
4.kwa wasiojua maana na dhana nzima ya management tutaweza kuwaeleza nini wakajua?

Je huoni kama kubadilisha badilisha majina kunaweza kuipotezea umaarufu wake wa awali?

naombeni kama kuna mwenye uelewa mzuri kidogo anape mwanga.

Nawasilisha....



UKIJUA WAJUA MWELEWESHE ASIYEJUA AKIJUA WAMEJUA

mkuu hapo ni usanii mtupu...
usanii unaolindwa na sheria...
hasa ukikutana na watu wanaojali masirahi yao binafsi...
unataka kuniambia brand ya portsman ni maarufu kibiashara kuliko sportsman...
nchi kama nchi hakunafaida hapo
 
It has nothing to do with taxation, as a matter of fact, the government made money from this deal..Serena bought out the previous owners and the hotel is fully owned by them now. Movenipick were managing the hotel on behalf of the owners..nafikiria wenyewe walikuwa ni wahindi..hao ndio wameuza hoteli..The owner of Kilimanjaro is Mr Ally Bawardi..amewatumia Kempinski hapo Dar kumanage hotel yake, sas, Management company ya sasa ni Hyyatt..Watu wengine msiandike kitu Kama hujui..kazi mnalaumu Serikali kumbe hamjui kitu..Ulizeni kwanza, au njooni Zanzibar tuwafundishe...maana huku maswala kama hayo, hata mawaiters watawapa darasa..


hii nimeitoa kule kwa mithupu blog, muoneni huyo mpemba mpewe somo kuhusu hospitality industry, sio kuosha tuu vinywa, watu kama nyie ni hatari kweli kwa nchi, maana kwa jinsi mlivyokata tamaa na hamjishughulishi kabisaaaa lipi la kifisadi lipi sio la kifisadi, maana wabongo kwa kufuata mkumbo, ndio maaana wajanja wanawaendesha tuu, kuoshwa vinywa tuuu, unadhani ukiongea hivyo mble ya computer yako hata ukiwa uchi, hutabadilisha chochote, watu kama nyinyi mliokosa imani na nchi hivi mnaweza kusababisha janga nchini, mnaweza kushirikiana na maadui nyinyi, ukiambiwa kitu fanya uchunguzi kwanza kabla hujaanza kulipuka, internet nyie mnatumia kusomea email tuu na kuja kuosha vinywa hapa? halafu hapa eti ni home of great thinkers, what are you thinking, WHAT A LOSS
 
Wakuu msiwe mnapotosha jamii kwa kusema chochote tuu mnavyofikiria nyinyi? habari ni kwamba hotel imebadilisha manegement, kuna hotell management campanies mbalimbali duniani na mojawapo ni hiyo movenpick, kempinski, sheraton ,accor, hilton na nyingine nyingi ambazo zingine hazimiliki hotel ila zinasaign mikataba na wamiliki wa hotel ili watumie mfumo wa management yao, hivyo basi mmiliki wa hotel anaweza kubadilisha management yoyote inayolipa au inayopendwa na wataliii, kumbukeni, hii ni service industry, unatakiwa kuzalisha anachotaka mgini, au mteja nasio unachotaka au unachoweza kuzalisha wewe, hapo basi juzi juzi kilimanjaro imebadilisha management yake kutoka kwa kempinski baada ya muda wao wa mkataba kumalizika na akasigni na HYATT, huyo nae kaona asign na serena, kumbuka katika mbuga zetu nyingi kule serena imetawala, sasa wameeingia mjini, cha muhuimu ni kwamba, je wanabadilisha wamiliki au wamiliki wanabadilisha management kuendana na jinsi wanavyotaka kutoa kile mateja anachokitaka, au ndio tunafuata mkumbo eti mmiliki wa hotel akibadilisha management anayoitaka eti nameuza au unakwepa kodi, fanyeni uchunguzi kabla ya kusema, unaweza kuathiri watu wengi sio wote wanajua kupembua hapa, wengine ndio kwanza form four, unaweza kuwalisha matango katika paper , tehteh

Umejitahidi kuelezalakini haujaweka sawa ukweli ni huu: Msamaha wa kodi ni kwa facility investment, yaani msamaha katika uwekezaji na anayesamehewa ni yule mmiliki wa investment (Jengo) ambaye ni TANRUSS. Kwahiyo, msamaha wa kodi ulishaisha tangu mwaka 2005, kumbuka Jengo (Hoteli) hii wakati huo ikiwa na management ya Sheraton ilifunguliwa mwaka 2000 hivyo kufikia mwaka 2005 msamaha wa kodi uliisha. Kuanzia mwaka 2006 hadi sasa ni kodi kwa kwenda mbele wakuu!...
 
Wanakwepa kulipa kodi, TZ ni nchi ambayo inaonekana kuwa vyanzo vingi vya mapato lakini viongozi wetu hawaangalii future hiyo kodi wanayokwepa kulipa ingesaidia mambo mengi kwenye nchi yetu.
 
Back
Top Bottom