Godoro la kioo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 364
- 735
Huyu jamaa mistari yake hapana
Utasikia
1) Wanataka nife Ili Aishi manula
2)Vyombo vya habari vinaoshwa kwenye besen
3) Hata wachawi wanajua mchawi pesa
4)Dirisha la usajili wameweka mapazia
5)Nanunua kanga mbele ya maulidi kitenge
6) Nimeongea na ndugu yangu anaitwa Maneno akasema Hana neno
7)Nimekosa pa kukaa nikakaa kimya
Hiyo ni baadhi tu ila itoshe kusema jamaa ni mmoja kati ya marapa wa kitapeli ambao Taifa limebahatika kuwa nao
Utasikia
1) Wanataka nife Ili Aishi manula
2)Vyombo vya habari vinaoshwa kwenye besen
3) Hata wachawi wanajua mchawi pesa
4)Dirisha la usajili wameweka mapazia
5)Nanunua kanga mbele ya maulidi kitenge
6) Nimeongea na ndugu yangu anaitwa Maneno akasema Hana neno
7)Nimekosa pa kukaa nikakaa kimya
Hiyo ni baadhi tu ila itoshe kusema jamaa ni mmoja kati ya marapa wa kitapeli ambao Taifa limebahatika kuwa nao