britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,211
- 41,788
Ni swali tu, maana nahis JF ni forum ya wagumu, haitoi fursa kutangaza uzuri wa mtu kwa sura, au Amber ruti yake,
Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo ya sayansi shuleni, yaan sura Ngumu ngumu tu
Maana mtandao wa GT huu hauwezi kupata watoto warembo
Sijaponda mtu japo wapo wale kama kina kapeace nahis ni miongoni mwa wachache warembo, sijamsahau Demiss na Miss Natafuta Kuna Toto la Kinyarwanda roselina john
Nataka kuwaona design hii
Ikumbukwe nimeandika nikiwa nimelewa
Katika mawazo Nawaona wadada wa JF kama wale wadada waliokuwa wanaongoza masomo ya sayansi shuleni, yaan sura Ngumu ngumu tu
Maana mtandao wa GT huu hauwezi kupata watoto warembo
Sijaponda mtu japo wapo wale kama kina kapeace nahis ni miongoni mwa wachache warembo, sijamsahau Demiss na Miss Natafuta Kuna Toto la Kinyarwanda roselina john
Nataka kuwaona design hii
Ikumbukwe nimeandika nikiwa nimelewa


