Hivi kuna mapenzi ya jinsi hii?

Hivi kuna mapenzi ya jinsi hii?

hahaha sivizuri kumvunja moyo

Money first lov next, hii ndio principle kama unapenda hao wadudu tafuta pesa hawatakusumbua kabisa, utashangaa unatongozwa, but remember its ua money make things happen,and no men without finance,na kama huna mkwanjwa achana nao utadanganywa utapigiwa, wanaweza kukupa pressure, ni bora uwe una buy mitaa ya kati apo ukisha shusha magundi yako ludi class life goes on
 
Weka picha ya dushelele yako, maana kama pesa huna na una kibamia! Hupati mtu.
Naombeni kujuwa jamani hivi kama mtu huna pesa unaweza kupata mpenzi akakupenda kwa dhati kweli bila visa vyovyote kama usaliti nk?

Mimi sina pesa na sina mpenzi kila nikitaka kutongoza yananijia mawazo kuwa bila pesa nitakuwa napoteza muda wangu tu.

Hii hali ninayo tokea nikiwa high school mpaka sasa nipo University huu uoga hautoki nijuzeni wakuu kama inawezekana kuwa na mpenzi kama huna pesa za kulea nahisi kuchoka kuwa single au niendelee kuwa single hadi nimalize chuo nije kupata job ya kunipa kipato then kama kuna girl wa type hiyo anaeweza kumpenda mtu asiye na pesa kwa dhati na umeona aka ka uzii embu ni.cheki hapa 0656879668.
 
Back
Top Bottom