Hivi kuna mapenzi ya jinsi hii?

Hivi kuna mapenzi ya jinsi hii?

Kuna wakati panahitajika patofautishwe kati ya JF na FB,maana mambo haya yanatakiwa yawepo FB kule wanaosema X badala ya S
 
Kijana huo muda unaoupoteza hapo chuo kwa kuwaza papuchi utakuja kuujutia......warembo kila siku wanazaliwa wa kila aina na na kila dizaini tofauti......komaa na masomo kwa sababu wakati ni ukuta hauwezi kushindana nao......kwanza jenga maisha then hao unaowaona warembo watakuja automatic......tafadhali usiichezee hiyo nafasi adhimu ambayo wengi tumeikosa na bado tunaililia......kwa wakati huu mawazo , akili zako na nguvu zote zielekeze kwenye masomo kwa kuwa ndio future yako.......hayo mapenzi kaka yako nimeyafanya toka nabalehe mpaka umri huu bado sijaona faida yake zaidi ya kunitia hasara tu.....KOMAA NA MASOMO......MAISHA BILA ELIMU NI SAWA NA KUNGOJEA BASI STENDI BILA YA NAULI............................HUUU NDIO USHAURI WANGU KWAKO..............

shukrani.mkuu kwa ushauri wako ntajitahid kuufuata
 
Huwa napiga mkuu,hasa kutumia mafuta au lotion,sabuni inachubua halafu kuna tu maumivu katika povu.
Wewe dogo unapiga punyeto kwa idhini ya nani mbona chama chetu hakikutambui......nyoosha maelezo...kijana....
 
hahaha hapana aise mim.punyeto siwez piga bora fani.ingine

ndo sahau mademu unafikiri kuna papuchii ya bure bure..hata hela ya sabuni hutoi uncle vip...utaishia kuwaita watoto wazuri dada na mashemejii
 
Huwa napiga mkuu,hasa kutumia mafuta au lotion,sabuni inachubua halafu kuna tu maumivu katika povu.

hahaha kwel ww fundi ila be careful dushelele isije kukosa nguvu
 
Haya mkuu kama umenielewa.....utakuja kuona faida yake huko mbeleni........kwa sasa pigana katika kuyashinda majaribu....ya ngono...

thank you very much ngoja nisome kwa hasira zote
 
ndo sahau mademu unafikiri kuna papuchii ya bure bure..hata hela ya sabuni hutoi uncle vip...utaishia kuwaita watoto wazuri dada na mashemejii

siku nkishika hela watakuja tu
 
koh koh kumbe koh koh na wewe sometimes yes koh koh ooooh
Kijana huo muda unaoupoteza hapo chuo kwa kuwaza papuchi utakuja kuujutia......warembo kila siku wanazaliwa wa kila aina na na kila dizaini tofauti......komaa na masomo kwa sababu wakati ni ukuta hauwezi kushindana nao......kwanza jenga maisha then hao unaowaona warembo watakuja automatic......tafadhali usiichezee hiyo nafasi adhimu ambayo wengi tumeikosa na bado tunaililia......kwa wakati huu mawazo , akili zako na nguvu zote zielekeze kwenye masomo kwa kuwa ndio future yako.......hayo mapenzi kaka yako nimeyafanya toka nabalehe mpaka umri huu bado sijaona faida yake zaidi ya kunitia hasara tu.....KOMAA NA MASOMO......MAISHA BILA ELIMU NI SAWA NA KUNGOJEA BASI STENDI BILA YA NAULI............................HUUU NDIO USHAURI WANGU KWAKO..............
 
Subiri umalize chuo, bora kua huna maana icho kiboom kingeisha siku mbili tu
 
Badili uandishi.Andika kwa ufasaha na uache "x kwa s" mkuu.Wakuu wanadhani wanaongea na kid(?).Sorry and bye!
 
Back
Top Bottom