Hivi kuna mapenzi ya jinsi hii?

Hivi kuna mapenzi ya jinsi hii?

Boom linakuwasha sio, nenda kanunue Sabufa, lasifa ukijiingiza huku utakuwa unashindia mapera..
 
Boom linakuwasha sio, nenda kanunue Sabufa, lasifa ukijiingiza huku utakuwa unashindia mapera..

afu ungejua sina boom ata mia nasoma kibishi tu wala usinge bwabwaja
 
hahaha duh mkuu mm iyo kitu situmii aise

hahaha...toka high school mpaka chuo hauna girl wa kumgegeda au hicho chuo chenu hamna girl hata wa kutamani..kuwa mkweli sema nyeto unapiga ili kama wapo humu ndani wakuonee huruma...kwa ushauri usiogope kutongoza mpe maneno matamu akikutolea nje jaribu bahati nyingine..ukimwendekeza demu pesa ndio utakujaumia mbaya 24 Hrs anataka pesa coz ulimtongozea pesa na sidhani kutakuwa na true love hapo..(No Money No Honey)
 
MKUU KAMA HUNAMCHELE...JIUNGE CHAPUTA TU...niki wapili,anakwambia kwenye mpungaaa ndo watoto wanatuliaa tuliiiiiiiiiiiii
 
hahaha...toka high school mpaka chuo hauna girl wa kumgegeda au hicho chuo chenu hamna girl hata wa kutamani..kuwa mkweli sema nyeto unapiga ili kama wapo humu ndani wakuonee huruma...kwa ushauri usiogope kutongoza mpe maneno matamu akikutolea nje jaribu bahati nyingine..ukimwendekeza demu pesa ndio utakujaumia mbaya 24 Hrs anataka pesa coz ulimtongozea pesa na sidhani kutakuwa na true love hapo..(No Money No Honey)

nyeto sipigi na yah cna girl.ila toka high school uwa naonaga tu ka cwez kaa na girl.uku mifuko.haisom.ila tanks ntajaribu kupiga soundd nione itakuaje
 
Kijana huo muda unaoupoteza hapo chuo kwa kuwaza papuchi utakuja kuujutia......warembo kila siku wanazaliwa wa kila aina na na kila dizaini tofauti......komaa na masomo kwa sababu wakati ni ukuta hauwezi kushindana nao......kwanza jenga maisha then hao unaowaona warembo watakuja automatic......tafadhali usiichezee hiyo nafasi adhimu ambayo wengi tumeikosa na bado tunaililia......kwa wakati huu mawazo , akili zako na nguvu zote zielekeze kwenye masomo kwa kuwa ndio future yako.......hayo mapenzi kaka yako nimeyafanya toka nabalehe mpaka umri huu bado sijaona faida yake zaidi ya kunitia hasara tu.....KOMAA NA MASOMO......MAISHA BILA ELIMU NI SAWA NA KUNGOJEA BASI STENDI BILA YA NAULI............................HUUU NDIO USHAURI WANGU KWAKO..............
 
MKUU KAMA HUNAMCHELE...JIUNGE CHAPUTA TU...niki wapili,anakwambia kwenye mpungaaa ndo watoto wanatuliaa tuliiiiiiiiiiiii

hahaha hapana aise mim.punyeto siwez piga bora fani.ingine
 
Nimekupenda ghafla.... kumbe unafaa sana, wachache wanaopenda amani ... Salute! pamoja sana

usiwaze mkuu nidhamu yangu ipo juu kulingana na kanuni za michezo.ninayocheza sipaswi.kua mkorofi ata kidogo..
 
Back
Top Bottom