Hivi kuna mapenzi ya jinsi hii?

Hivi kuna mapenzi ya jinsi hii?

JfBro

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2014
Posts
587
Reaction score
163
Naombeni kujuwa jamani hivi kama mtu huna pesa unaweza kupata mpenzi akakupenda kwa dhati kweli bila visa vyovyote kama usaliti nk?

Mimi sina pesa na sina mpenzi kila nikitaka kutongoza yananijia mawazo kuwa bila pesa nitakuwa napoteza muda wangu tu.

Hii hali ninayo tokea nikiwa high school mpaka sasa nipo University huu uoga hautoki nijuzeni wakuu kama inawezekana kuwa na mpenzi kama huna pesa za kulea nahisi kuchoka kuwa single au niendelee kuwa single hadi nimalize chuo nije kupata job ya kunipa kipato then kama kuna girl wa type hiyo anaeweza kumpenda mtu asiye na pesa kwa dhati na umeona aka ka uzii embu ni.cheki hapa 0656879668.
 
Kumbe lengo lako ni kutafuta girl?Mi nikajua unataka ushauri
 
Tupia picha basi ili angalau mtu aanze kuvuta true love... namba tu haitoshi.....
 
Naombeni kujua jamani hivi kama mtu huna pesa unaweza kupata mpenzi akakupenda kwa dhati kweli bila visa vyovyote kama usaliti nk.???? mimi sina pesa na sina mpenzi.kila nikitaka kutongoza yananijia mawazo kua bila pesa ntakua napoteza.muda wangu tu... hii hali ninayo tokea nikiwa high school mpaka sasa nipo university huu uoga hautoki nijuzeni wakuu kama inawezekana kua na mpenzi kama huna pesa za kulea nahis kuchoka kua single auuu niendelee kua single adi nimalize chuo nije kupata job ya kunipa kipato then kama kuna girl wa type hiyo anaeweza kumpenda mtu asiye na pesa kwa dhati na umeona aka ka uzii embu ni.cheki hapa 0656879668....

shida yako.hasa ilikua nin mpenzi au ushauri???
 
hapo mwisho ndio lengo lako hizo story zilikuwa bwembwe tu

tongoza mademu wa kishua acha uoga

wakishua nao xiku washakua kama wa uswaz anakuita mahal juice 5000 hujapata kitafunio hapo
 
Kumbe lengo lako ni kutafuta girl?Mi nikajua unataka ushauri

two in one but main.ni.ushaur an la pili ni.incase kama mtu wa type hiyo akipita hapa ila main.ni ushaur tu
 
Back
Top Bottom