Hivi kumbe wanawake nao wamo eeeh...!?

Hivi kumbe wanawake nao wamo eeeh...!?

BADILI TABIA ,fundi jogoo anapanda mtungi kwa kuwa ana mtoto.
"
Ni kweli,lengo la kutongoza ni pamoja na migegedo,lakini kama ulivyosema hakuna muda maalum.
"
Hii ina maana hata siku hiyohiyo au hata baada ya mwaka mkitaka,lakini mnapolazimishana ndo shida!

eiyer,
hapo juu umesema waliahidiana, ila fundi akawa busy.......

Sasa kwa nini anaahidi ilhali hawezi itim
iza?

Ndo maana nikasema labda jogoo hapandi mtungi, kuwa na mtoto sio issue labda alipata mtoto wakati jogoo halijagoma.......

Kama hana mpango na huyo dada amweleze atafute mpya wa kumpa utamu......
 
Last edited by a moderator:
If i were that lady: ukinambia una kazi nakuja hapo hapo kazini kukusubiri....
After kazi mguu kwa mguu......
Bize? nani kasema! mbona mda wa kumfatilia aliupata?
 
wajameni utamu wa kugegedana asikuambie m2 dada komaa fundi akushone vizuri:bange::bange:
 
siku hizi mambo yamebadirika! things are not the same as they used to be! mwanaume kutongozwa na mwanamke ni kawaida hivi leo. mwanamke kulazimisha ngono imekuwa kawaida! mm kuna dada alitafuta contact yangu kwa rafiki yake akanitumia msg ya mapenzi kunitaka kimapenzi na mbaya zaidi aliniandikia maneno ya kupigia debe mapenzi ya kinyume na maumbile! kwa sehemu kubwa wanawake wa hivyo huwa wako kikazi zaidi (kipesa)!
 
Safi sana we need people who can dare to speak openly like JamiiForums.
 
Jf kuna Laha sana!jamani hata kama Binti nanahi kakuuzi,ukiingia humu unakuwa mpya!
 
Safi sana we need people who can dare to speak openly like JamiiForums.
 
aah, ukiona ivo dem halipi wala nini..binafsi sijawai ona demu mzuri akalazimisha kutiana, hapa kuna uwalakini/
 
aah, ukiona ivo dem halipi wala nini..binafsi sijawai ona demu mzuri akalazimisha kutiana, hapa kuna uwalakini/

kwa vile demu mzuri hana nyege au?
kwa kuwa demu mzuri anatiana kwa kukuridhisha wewe mwanaume tu?
kwa kuwa unajisikia juu sana ukiona mwanamke anatoa mwili wake kwa ajili yako tu na sio kwa ajili yake?
 
Ukimwi huo hamna lolote kwa nini alazimishe kihivo kwani huyo jamaa ana nini cha ziada
 
Jamani wana jamvi wenzangu, siku zote huwa nawauliza, "kati ya sikio na kile kipamba cha sikio, kipi huwa chapata utamu?".

Hivi umejibiwa kweli??
 
siamini km mwanaume unaweza ukakosa muda wa kugegeda ,tena ngozi mpya.
huyu rafikiyo atakuwa anamatatizo siyo bure ,,,,,yaani utongoze mwanamke akukubalie na akukomalie halafu usimgegede utakuwa unatafuta balaa la kucheza na hawa viumbe wa opposite sex kwakweli
 
Back
Top Bottom