Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Na wanaume jifunzeni kuwabeba na kasoro zao, kama unavyoshika waridi na miiba yake...
Mnatuhitaji kwa sababu sisi ni wanaume (sawa na sisi tunavyowahitaji kwa sababu mu wanawake), but ukimchukua mwanaume, unachukua package nzima, including madhaifu yake...
Madhaifu? kuwatenda wenzenu kila siku...huh!! Akikupiga ngumi- madhaifu, akikesha baa- madhaifu, akitembea na mwanae-madhaifu, akihamia kwa changu-madhaifu, na hata akiamua kuwa shoga-madhaifu tu yakibinadam. THUBUTUU