Hivi kumbe wanaume nao huwa wanalia?????

me too dena hawa viumbe wana maudhi sana ila huyu baba atia huruma mwe. Sa si aendelee tu na maisha na yeye wanaume huwa wanajikaza hata akifiwa au uyo ni manaume suruale nini mapenzi gani ya kulia na utu uzima huu

Shosti hujambo??? Upo? Mie mzima. Radio mbao zinasema karogwa kwa imani zao jamaa haongei dear yaani huruma saa hizi kanipigia anasema nikitoka ofisi nikamuone. Nitakwenda
 
Bujibuji wimbo huo ilikuwa na maana kubwa sana. Tatizo linakuja pale unapopenda pasipo kusikiliza maneno ya wakubwa walioliona jua mapema.
:redfaces:.
Ukiumwa na nyoka.................
 
Shosti hujambo??? Upo? Mie mzima. Radio mbao zinasema karogwa kwa imani zao jamaa haongei dear yaani huruma saa hizi kanipigia anasema nikitoka ofisi nikamuone. Nitakwenda

nipo mpenzi mzima wewe hizo radio mbao yawezekana za kweli haiwezekani mbaba kabisa alie mwe nenda kamuone mwaya anatia huruma sana baba wa watu (ila umeniuzi kwenye mafataki kule lol mi roho yaniuma nikiwaza mtu anifatakie mwanangu)
 
Habari zenu wana JF

Jana nimeshuhudia kihoja nyumbani kwangu kaja Jamaa mmoja (aliyenipokea huku niliko), kaanza kunililia ndani mwangu nikabaki nashangaa kulikoni? Katulia kidogo kaanza kunieleza habari za nyumbani kwake.

Ameoa 10yrs ago na mkewe walikuwa wakipendana sana lakin tabia ya mkewe imebadilika baada ya yeye kufungua baa, kila mkewe akienda baa mteja atakayemtongoza anaondoka nae na huyo mteja akishashitukiwa harudi tena, Sasa issue ni kwamba mother house kahamisha vitu vyote ndani halafu kasema hajui vilipokwenda na amebadilika ile mbaya si kama zamani kawa na jeuri ile mbaya, sasa jamaa anamuuliza mke wangu vitu vya ndani viko wapi amejibiwa kuwa mie sina mume, mume wangu ameshakufa toka juzi na sasa hivi ni mwanaume anayekuja kunichukua next weekend anasema anajibu kwa jeuri ile mbaya. Jamaa ameshindwa afanyaje sasa mke vitu kachukua ndani , jamaa anashinda analia tu hata kazini kaomba ruhusa ya ugonjwa. Jamani afanyeje katika hili mie limenichanganya sana nikasema kumbe kuna wanaume wengine wapole hivi na wanaweza kuonewa na wanawake nimeshangaa mpaka sasa. Nisaidieni

Shosti hujambo??? Upo? Mie mzima. Radio mbao zinasema karogwa kwa imani zao jamaa haongei dear yaani huruma saa hizi kanipigia anasema nikitoka ofisi nikamuone. Nitakwenda

....reading between the lines, LOL! ...huyo jamaa ni mjanja sana aisee, duuuh!!! ha ha ha!

images

...kufa kufaana!
 
mwanaume kulia kitu cha kawida sana kwani si binadam pia jamani????we tena mwanamme alia vibaya mpaka apiga magoti utasema kaambiwa nakua leo...hahahhhaaa but makes me sad too
Karibu mjengoni..........imekuwaje sijakuona hadi leo hii?? Au we mtazamaji tu humu?
 
pink stands 4 girls,,,and i' muslim haki lillahi i'm nilham as nilham,,and as i wrote this 4 u allah is with me...haturuhusiwi kuonyesha nywele ama kichwa wazii..ndio mana nikatumia pictr hii,,na si hapa tuu nimebandika ni kote niwasilianapo na binadam wenzangu..uongo dhambi jamani..hata kam nina macho makubwa laikini ni mimi ya nini nijificheee???hapo twatoka burj khalifa siku ya eid l hajj juzi..
Hivi eeh....cheki PM yako....
 
Habari zenu wana JF

Jana nimeshuhudia kihoja nyumbani kwangu kaja Jamaa mmoja (aliyenipokea huku niliko), kaanza kunililia ndani mwangu nikabaki nashangaa kulikoni? Katulia kidogo kaanza kunieleza habari za nyumbani kwake.

Ameoa 10yrs ago na mkewe walikuwa wakipendana sana lakin tabia ya mkewe imebadilika baada ya yeye kufungua baa, kila mkewe akienda baa mteja atakayemtongoza anaondoka nae na huyo mteja akishashitukiwa harudi tena, Sasa issue ni kwamba mother house kahamisha vitu vyote ndani halafu kasema hajui vilipokwenda na amebadilika ile mbaya si kama zamani kawa na jeuri ile mbaya, sasa jamaa anamuuliza mke wangu vitu vya ndani viko wapi amejibiwa kuwa mie sina mume, mume wangu ameshakufa toka juzi na sasa hivi ni mwanaume anayekuja kunichukua next weekend anasema anajibu kwa jeuri ile mbaya. Jamaa ameshindwa afanyaje sasa mke vitu kachukua ndani , jamaa anashinda analia tu hata kazini kaomba ruhusa ya ugonjwa. Jamani afanyeje katika hili mie limenichanganya sana nikasema kumbe kuna wanaume wengine wapole hivi na wanaweza kuonewa na wanawake nimeshangaa mpaka sasa. Nisaidieni

Basi mie nikafikiri jamaa kadundwe . Haya mambo yapo sana tu mbona ila sema tu wanaume huwa wanaona noma kulia hadharani....... Hapo jamaa akigeuza kibao akachukua mtoto mdogo m wingine afu mama
aende TAMWA baba ataambiwa kakosea........ Wanasema mkubwa ni jalala!!
 
mnh...mwambie huyo mwanaume atafute nyumba ndogo..
tuone kama huyo mwanamke hatatia akili????

ahame akaanze maisha mapya somewhere...,
asihesabu huyo mwanamke kamtia hasara kiasi gani.,
akiendelea kukaa hapo huyo mwanamke atamletea ugonjwa ndani,
hakuna kitu expensive kama UHAI!
Akithubutu tu anapelwkwa TAMWA...........hahahhhhhh
 
Fab........... unajikana mwenyewe! au ulukuwa unamaani hii ni ya zamani?

huyo sio mimi na wala hafananii na mie,,,:target:
nimeiba picha kutoka kny mtandao mmoja wa west africa....sssshhhh siri yako,usimwambie mtu lakini...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom