Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
- Thread starter
- #41
me too dena hawa viumbe wana maudhi sana ila huyu baba atia huruma mwe. Sa si aendelee tu na maisha na yeye wanaume huwa wanajikaza hata akifiwa au uyo ni manaume suruale nini mapenzi gani ya kulia na utu uzima huu
Shosti hujambo??? Upo? Mie mzima. Radio mbao zinasema karogwa kwa imani zao jamaa haongei dear yaani huruma saa hizi kanipigia anasema nikitoka ofisi nikamuone. Nitakwenda