Hivi kumbe kuna wanawake wa hivi?

Hivi kumbe kuna wanawake wa hivi?

Ndo nimekwambia.Kawaida yetu wanaume ukishamgonga mwanadada huna mpango nae tena.Na inawauma sana wanawake.Sasa kwako zingatia yupo tu kahifadhiwa,hilo moja.Pili wanaume zaidi ya mmoja,na ujue hapo kila mmoja anamtaka tu.Sasa huenda anaona akijiachia ukamla kabla hajaanza maisha yake utamharibia,na upende usipende ukimgonga tu ndo chanzo cha matatizo. Kama umeamuwa kumdaidia we kubali uumie,wanaokukejeri acha wakukejeri,akipata uweza akapanga utapata tu.Af wa hivo ukipenda,komaa nae.Kama hawezi kujirahisisha kihivyo,usiangalie sura au uwezo mdogo kifedha. Ukitaka mengi ni PM
Nimepata kitu mkuu
 
theory mbili
1 huenda anakuepusha na balaa uyo mdada anakuonea huruma kumeza ARV yeye ashajishukuru kama unaweza nenda kamwambie mpime UKIMWI

2 Anajua ukigegeda tu utamuacha sasa yeye anatunza apo asije achwa

yote majibu hapo juu but chagua best answer
 
Mchunguze vizur huenda anakuepusha na jambo zito san unajua sie wanawake tuna hurum san ila kuwa makin usije ukaja na kilio cha kuuliza hiz ni ARV kazi kwako
dada umenifanya mpaka nimekupenda ujue kwa kauli yako hii. huwa natamani kuwa na mwanamke kama wewe. MUngu akupe kulingana na mahitaji ya moyo wako
 
Back
Top Bottom