Inafikia unagusa Papuchi unagusia gusia lakini hupewi na unalala nae kitanda kimoja bila kufanya kitu,Haya wakati umepewa Papuchi kugusia gusia umehisi ame keketwa au? reason nakuuliza niko na shogangu Mtu Sudan yeye alikua akipata mwanamme hakai na Mashallah mzuri sio wale wasudani weusi yeye mweupe basi akachwa na wanaume wanafika 7 sasa alipo mpata bwana mwengine ikabidi akatake kufanya nae chochote zaidi ya Kiss na hug akasema mpaka anione ndio atajua huko huko nikamuliza kwani tatizo nini mpaka unaaachwa mbona uko vizuri? ndio akanambia mimi nime keketwa ndio mana jamaa hawakai,sasa huenda huyo wako nae amekeketwa...