HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Shukran mkuuUna akili Sana mkuu
Shukran mkuuUna akili Sana mkuu
TrueTupo kwenye nchi huru kula unachokitaka alimradi humlazimishi mtu akile.
Mara nyingi wanaohangaika na makatazo kuhusu nguruwe huwa ni wanafiq maana dhambi zoote utakuta wanazikaribia lakini ikija ishu ya nguruwe wanajikuta watakatifu.
Ahaa kumbe yale makatazo hayatuhusu?Kitimoto walkatazwa kula walawi sasa ww msukuma mwenzangu unawaza nn kula mkuu wa meza uyo

Elewa swali kwanza,kisha jibu ikiwezekanaKwamba mtu asipokula kitimoto wewe unaumia?
Habari za muda huu waungwana,
Nimekuwa nikiwaza sana juu ya suala hili la kula nguruwe (kitimoto) moja kati ya mambo yanayonitatiza ni kama:
Je nguruwe ndiyo mnyama pekee aliyekatazwa katika vitabu vitakatifu au kuna wanyama wengine? Kama ndiyo mbona nguruwe ndiyo maarufu?
Je dhambi kama kuzini, kuua, kulawiti, kuroga nk. Ni dhambi ndogo kuliko kula nguruwe?
Kwa kumalizia,Je nchi ya Saud arabia ikiamua kuruhusu ulaji wa kitimoto kwa wageni kama ilivyoruhusu unywaji wa pombe inaweza kutengwa na nchi zingine za kiarabu? Kama jibu ni ndiyo je pombe ni halali na kitimoto ni haramu?![]()
acha bangi wewe fedhuliKwa wafuasi wa mudi kitimoto ni dhambi ila ushoga na kutinduliwa mnya ni sunna,inasikitisha sana
Kuna mambo mengine mwanaume kuyasema ni ngumu sana. Labda na wewe huwa wanakukula hicho kisavuWavaa kobazi mbuzi k tumekula nao sana ila hawataki uwasemee Kwa watu wao wa karibu,dhambi kuu kwao ni kula mtaro lakini wanaongoza mademu wao Kwa kutoa kisamvu kilichosindikwa