Hivi kuandaa watoto kumshangilia Rais Walimu mnapata faida gani?

Mtarban

JF-Expert Member
Jan 14, 2015
3,858
5,101
Nimesikitishwa na kitendo cha maigizo yaliyofanywa leo huko Kilimanjaro ambapo video inawaonesha wanafunzi wakiwa na walimu wao wakimsubiri Rais Magufuli atoke kanisani, na Mara baada ya kutoka wakaanza kumshangilia.

Najua hili lilipangwa, lakini kwanini wasitumiwe watu wakubwa na wanafunzi wakaachwa kuendelea na majukumu yao ya kiuanafunzi?

Walimu wetu ifike hatua mjitambue siyo kukaa na kuwaongoza wanafunzi kwenda kujipanga nje ya nyumba za ibada kusubiri kushangilia viongizi Wa kisiasa.
 
Ijue falsafa kwanza kwa saikolojia ya mtoto katika kuhusianishwa na viongozi wakuu wa serikali au nchi yake katika swala zima la upendo, na kukuza na kuendeleza uzalendo na imani kwa taifa lake na viongozi wake ngazi ya taifa baadae! Ni sawa tu na kumfundisha mtoto nyimbo nzuri kuhusu nchi yake, wimbo wa taifa, wimbo wa nchi na nyimbo kuhusu umahiri wa viongozi wa nchi yake ili apate kuijua, kuipenda na kuwa mzalendo kwa nchi. Soma "patriotism: How made" by McCormack, G.Y.

So, teachers do have indisputable justification for that...
 
nimesikitishwa na kitendo cha maigizo ya
liyofanywa Leo huko Kilimanjaro ambapo video inawaonyesha wanafunzi wakiwa na walimu wao wakimsubiri Rais Magufuli atoke kanisani, na Mara baada ya kutoka wakaanza kumshangilia.

najua hili lilipangwa, lakini kwa nini wasitumiwe watu wakubwa na wanafunzi wakaachwa kuendelea na majukumu yao ya kiuanafunzi?

walimu wetu ifike hatua mjitambue siyo kukaa na kuwaongoza wanafunzi kwenda kujipanga nje ya nyumba za ibada kusubiri kushangilia viongizi Wa kisiasa
Uctuletee stories za kusadikika hapa, tuthibitishie kama ilipangwa na ni mbaya kiasi gani...

Je unajua kanuni zinazowaongoza walimu katika kutekeleza majukumvyao?

Taifa lisilowaonyesha watoto uthamani wa viongozi wao na kuheshimu au kutambua uwepo wao is, I think, one which is heading to the dogs!.
 
Watu wazima wako wanafanya kazi,Moshi hakuna mazezeta ya kushangilia vihiyo. Kesho watabeba walimu na kuwajaza pesa ili washangilie
 
Wivu wa kike..angekuwa yule mwizi wenu ..mngeleta na video..endeleeni kuwa nyumbu polini..Acheni watoto wawe karibu na viongozi wao wa nchi ili nao wawe na ndoto pana..mnataka wafungiwe ndani kama mayai? Akili za nyumbu kuzikomboa ni shida sana.
 
Uctuletee stories za kusadikika hapa, tuthibitishie kama ilipangwa na ni mbaya kiasi gani...

Je unajua kanuni zinazowaongoza walimu katika kutekeleza majukumvyao?

Taifa lisilowaonyesha watoto uthamani wa viongozi wao na kuheshimu au kutambua uwepo wao is, I think, one which is heading to the dogs!.

Ilo linajulikana kabisa,wala haitaji elimu ya chekechea kuelewa.
 
nimesikitishwa na kitendo cha maigizo ya
liyofanywa Leo huko Kilimanjaro ambapo video inawaonyesha wanafunzi wakiwa na walimu wao wakimsubiri Rais Magufuli atoke kanisani, na Mara baada ya kutoka wakaanza kumshangilia.

najua hili lilipangwa, lakini kwa nini wasitumiwe watu wakubwa na wanafunzi wakaachwa kuendelea na majukumu yao ya kiuanafunzi?

walimu wetu ifike hatua mjitambue siyo kukaa na kuwaongoza wanafunzi kwenda kujipanga nje ya nyumba za ibada kusubiri kushangilia viongizi Wa kisiasa
Tumia akili yako japo kidogo utajua kosa sio la mwalimu huyo unaye taka kutuaminisha kuwa anakosa Ni sawa na kumlaumu askari wakati naye ana pewa maagizo toka ngazi za juu yake
 
Wivu wa kike..angekuwa yule mwizi wenu ..mngeleta na video..endeleeni kuwa nyumbu polini..Acheni watoto wawe karibu na viongozi wao wa nchi ili nao wawe na ndoto pana..mnataka wafungiwe ndani kama mayai? Akili za nyumbu kuzikomboa ni shida sana.
Porini na siyo polini
 
Uctuletee stories za kusadikika hapa, tuthibitishie kama ilipangwa na ni mbaya kiasi gani...

Je unajua kanuni zinazowaongoza walimu katika kutekeleza majukumvyao?

Taifa lisilowaonyesha watoto uthamani wa viongozi wao na kuheshimu au kutambua uwepo wao is, I think, one which is heading to the dogs!.

poor you
 
Michango ya mwenge walimu huwa wanakatwa moja kwa Moja kwenye mishahara yao, hao ndiyo wanyonge wao na ma DC huwa wanawachapa viboko
Acha kudanganya watu ndugu hakuna mtumishi yoyote wa umma anayekatwa mchango wa mwenge kwenye mshahara bali watumishi wengi hulazimishwa kulipia kila mwenge unapokaribia kuja wilayani kwao.
 
Tanzania hakuna sekta ya watumishi waoga kama walimu wenzao waandishi wa habari wameanza kujitambua.
 
nimesikitishwa na kitendo cha maigizo ya
liyofanywa Leo huko Kilimanjaro ambapo video inawaonyesha wanafunzi wakiwa na walimu wao wakimsubiri Rais Magufuli atoke kanisani, na Mara baada ya kutoka wakaanza kumshangilia.

najua hili lilipangwa, lakini kwa nini wasitumiwe watu wakubwa na wanafunzi wakaachwa kuendelea na majukumu yao ya kiuanafunzi?

walimu wetu ifike hatua mjitambue siyo kukaa na kuwaongoza wanafunzi kwenda kujipanga nje ya nyumba za ibada kusubiri kushangilia viongizi Wa kisiasa
Hawajaandaliwa kabisa ila kanisa la kristu mfalme misa ya pili ni ya kingereza ambako washiriki wake wakubwa ni wanafunzi wa St Mary goreth so ilikua obvious kwa wao kushangilia walipomuona Rais hili sio kosa ni jambo natural kutokea.
 
Back
Top Bottom