DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,495
- 99,294
Mwaka ndo huu, Bei bado kizungumkutiNaona fursa katika mahindi, Wote mnayapiga vita mwakani yataadimika waliolima watanufaika
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka ndo huu, Bei bado kizungumkutiNaona fursa katika mahindi, Wote mnayapiga vita mwakani yataadimika waliolima watanufaika
uslime mahindi, lima mpunga au maharage, pia fanya kilimo cha umwagiliaji usitegemee muvua, kwa kilimo cha mazao ya mboga mboga lima nyanya kuanzia mwezi december mavuno yake yatatoka wakati kuna demand kubwa ya nyanya huo ndio ushauri wanguNataka nilime mahindi ila nahofia kuangamiza pesa. Je, nipande mbegu gani iliyo bora kwa kipato kingi?
Mkuu, unalimia wapi? Vipi gharama zake kwa ekari 1 kwa eneo ulipo, na changamoto zake ni zipi hasa, na vipi ni muda gani ndio mzuri wa kulima na bei zake sokoni inakuwaje kwa kipindi hicho?Mimi nalima vitunguu swaumu kwa njia ya umwagiliaji haijawahi kuniangusha japo kuna changamoto ndogondogo ya hali ya hewa
Akikupa jibu nitagMkuu, unalimia wapi? Vipi gharama zake kwa ekari 1 kwa eneo ulipo, na changamoto zake ni zipi hasa, na vipi ni muda gani ndio mzuri wa kulima na bei zake sokoni inakuwaje kwa kipindi hicho?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakiona kilio mbele..ndugu yangu kama hela ni ya ngama na hujawai fanya kilimo maishan ndo unaanza yaan lazma ulie,trust me,hata ukifata taratib zote..so achana kabsa na hyo kitu
Ushaur..umiza kichwa kutafta mentor.yaan mtu anaelima na kufanya biashara hyo au zao lolote muda mref,.mwombe chini ya miguu yake mfanye wote step by step hata kwenye eneo moja aku guide kila kitu hata kumlipa mlipe.hapo utatoboa[/QU
Anaw3za toboa ila akakutana na soko bovu km serikali iliyopp madarakani...yaan tabu tupu
Nimewahi kufanya hizo kazi. I'm talk with experience..mkuu ushawahi kufanya hii kitu kilindi kivitendo?na unapatikana huko au
'Utafiti wa Udongo' ni jambo jema na la maana sana. Maabara ziko wapi ama mawakala wa shughuli hizi wako wapi?.Cha muhimu fanya utafiti wa udongo,maji,msimu na mazingira
Soko la maharage lipoje hapo gairo? Baada ya kuvuna italazimu kusafirisha hadi ddm mjini ndo upate soko?Nikushauri tu mkuu... tena nakushauri km mkulima mzoefu..hebu nenda gairo kalime maharage... huwez bora ht ununue mpunga uuweke ndan..alafu mwaka huu mpunga haujapanda sana sijui y
Kama unataka kufanya kilimo kuwa ndiyo biashara yako nnakushauri tafuta mkulima wa zao utakalo kulilima mwenye uzoefu wa muda mrefu na anaelima kibiashara upige japo kibarua cha bure kwake kwa mwaka mzima, uzifahamu ups and downs. Ikuw huwezi hivyo basi japo uwe nae karibu kwa muda mrefu upate ujuzi.Nataka nilime mahindi ila nahofia kuangamiza pesa. Je, nipande mbegu gani iliyo bora kwa kipato kingi?
Wekeza nguvu kwanza kabla ya pesa . kilimo cha mazao ya chakula ni zaidi ya tatu mzuka soko huwa halitabiriki kabisaNataka nilime mahindi ila nahofia kuangamiza pesa. Je, nipande mbegu gani iliyo bora kwa kipato kingi?
Mbona mzuri hivo naomba tuwe tunaenda wote shambani kulima. Tunakaa huko hadi jioni ili tufanye kilimo chenye tija.
Kwa hali ilivyo kwa sasa, atajinyonga by December???Mkuu gunia la mahindi tsh 18000-40000/= sasa naomba nikwambie ukweli kuwa angalia kilimo kingine sio mahindi maana utajinyonga mwakani mwezi kama huu
This is very likely to happen in this year boss.Naona fursa katika mahindi, Wote mnayapiga vita mwakani yataadimika waliolima watanufaika
Daaah uliona mbali sanaNaona fursa katika mahindi, Wote mnayapiga vita mwakani yataadimika waliolima watanufaika
Aliona mbal wapi wakat sado sa hv inauzwa1500 , waliolima 2018/2019 ndo wamepiga hela, na wenyewe ni baada ya serikal kufungulia soko la nje 2019/2020 hamna kitu, Tanzania hakuna soko la mazao ya biashara , soko lipo njeDaaah uliona mbali sana