Prince Mbega
Member
- Oct 23, 2014
- 41
- 3
Nataka nilime mahindi ila nahofia kuangamiza pesa. Je, nipande mbegu gani iliyo bora kwa kipato kingi?
Hauko makini, hela itaishia huko. Ila ukiwa makini, Uendeshaji mzuri, Utafanikiwa.
Ila ukiweka uzembe mbele, hasara iko mbele pia zaidi.
😂😂😂😂😂😂....Mkuu gunia la mahindi tsh 18000-40000/= sasa naomba nikwambie ukweli kuwa angalia kilimo kingine sio mahindi maana utajinyonga mwakani mwezi kama huu
Tutamzika majira kama haya mwakani.Mkuu gunia la mahindi tsh 18000-40000/= sasa naomba nikwambie ukweli kuwa angalia kilimo kingine sio mahindi maana utajinyonga mwakani mwezi kama huu
Kilimo cha Maharage ndo Chenyew mkuuu..Kinalipa sanaaNikushauri tu mkuu... tena nakushauri km mkulima mzoefu..hebu nenda gairo kalime maharage... huwez bora ht ununue mpunga uuweke ndan..alafu mwaka huu mpunga haujapanda sana sijui y
mradi ulime mwisho wa mvuA😊Kilimo cha Maharage ndo Chenyew mkuuu..Kinalipa sanaa
Ndugu kilimo kiache kabisa hela yako itapotea bure
Nikushauri tu mkuu... tena nakushauri km mkulima mzoefu..hebu nenda gairo kalime maharage... huwez bora ht ununue mpunga uuweke ndan..alafu mwaka huu mpunga haujapanda sana sijui y
Siku atakapoambiwa na jeshi aonyeshe aliko lima mpunga usisahau kumsaidia mkuu.
Ulitaka Gunia liuzwe sh ngapi? Leta mchanganuo wa Gharama za kupata hilo Gunia moja zen tulinganisheMkuu gunia la mahindi tsh 18000-40000/= sasa naomba nikwambie ukweli kuwa angalia kilimo kingine sio mahindi maana utajinyonga mwakani mwezi kama huu