Najua ameanza toka kipindi cha hayati mwl nyerere pia akaja kipind cha mzee mwinyi mpaka kwa benjamin mkapa...hamna alichofanya mpaka leo zaidi ya kuropokaropoka tu na kusinzia bungeni.....cha ajabu kikwete na yeye kamleta kwenye serikali yake! Hivi yeye ndo kabeba mikoba ya ccm nini??? Sasa mtu unaenda kwenye kampeni halafu unazungumzia wachumba wa watu hiyo ni akili au matope! Kwel ccm hamna mtu mwenye akili tena ndo maana mmemuona yeye ana afadhali! Namzungumzia kilaza wassira