nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 361
Wanajf wenzangu huwaga nakaa na kuwaza hv huyu ndugu kikwete anajua au ?eti nchi kuna shida nyingi eti kikwete anajua?eti jamani matokeo ya skuli za kata mabaya eti anajua ?eti jamani dr. kikwete anajua doctorate wenzake wanatabikia kuzipata ama yeye anazo 5 hashangai kweli?hv kikwete anajua kama kuna wataalamu wengi wapo mtaani wakipewa nafasi wanaweza?eti jamani wanajamii forum wenzangu eti kikwete anajua kama akitumia mawazo yetu ya jf anaweza timiza ahadi zake zote na kuifanya tz free from masikitiko,matatizo,vilio na majonzi eti jamani kikwete anajua kweli au washauri wake hawamwambii?jamani eti anajua au anajidai hajui hadi nchi nzima tuandamane kama misri au tunisia jamani?eti kikete..... ooh sory ni kiwete.....mmnh makubwa haya....si huyu kibwete.... aaaah jamani why ni mh.dr.raisi.mtukufu kikwete anajua jamani au hajui?