Ukichukua jibu ulilotoa, + avatar yako ilivyo + location yako, NIMERIDHIKA! Watu wa type yako tunao wengi hapa JF na hatuwezi kuwatupa! Kwani ukizaa mtoto mwenye mtindio wa ubongo utamtupa? Unakwenda nae na KURIDHIKA na kila analofanya!!!Hivi kijiji cha Maisha Plus kiko wapi? Jibu - MABWEPANDE je umeridhika?
*Hivi hii kitu bado ipo tu. Maana ilikufaga mwaka 2010 baada ya kuchemka vibaya kutokana na kuiga BBA, kumbagua msichana mwenye asili ya somalia, kuigiza badala ya kuwa halisi, upendeleo kwa baadhi washiriki, kumwagwa kwa ''sumu'' kutoka Kwa washiriki walioshindwa nk.
*Kwa kuwa siangaliagi TBC tena hivyo sijui mamdhari ikoje, lakini kwa mujibu ya mleta mada mmoja humu JF inadaiwa kijiji hicho kiko maeneo ya Bagamoyo, hii ni baada ya Malima(mpenda machangudoa) kuropoka siku ya ufunguzi wa mashindano.
Hongera!Kijiji hiki kipo Kariakoo