teniaz
Member
- May 6, 2013
- 39
- 34
Jamani hivi tcu mpaka leo imekiacha chuo cha mtakatifu yohana (st john dodoma) mpaka leo kina exist kwa misingi ipi? St john ni chuo cha private lakini kuna mambo ya ajabu sana ndani ya chuo, elimu inayo tolewa ni ya kiwango cha chini sana.
Lakini najiuliza hawa TCU hua wanenda kukagua?
Pale kuna vitivo vya afya, vinafuata misingi na utaratibu sahihi wa ufundishaji, inakuaje course ya kusoma semister nzima inafundishwa kwa wiki mbili au siku tatu?
Jamani TCU fuatilieni suala hili mjue uozo uliopo ndani ya kile chuo pamoja na vyuo vingine vinavyo fanana na St John.
Lakini najiuliza hawa TCU hua wanenda kukagua?
Pale kuna vitivo vya afya, vinafuata misingi na utaratibu sahihi wa ufundishaji, inakuaje course ya kusoma semister nzima inafundishwa kwa wiki mbili au siku tatu?
Jamani TCU fuatilieni suala hili mjue uozo uliopo ndani ya kile chuo pamoja na vyuo vingine vinavyo fanana na St John.