Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
quality centre ni pazuri kwa macho ila swaga zake sio kama za mlimani city bwana.piaqc wanaboa supermarket ya uchumi wakenya wale wanauza tu product zao za kenya hawana mixer pale tofauti na mlimani city ambapo shoprite wao kila brand unapata
kama shoprite watafungua brach qc hope itasaidia kubalance equilibrium
kama shoprite watafungua brach qc hope itasaidia kubalance equilibrium