Hivi ITV wako serious kweli??

Hivi ITV wako serious kweli??

niliona clip ya habari ya upasuaji wa moyo. footage iliyoonyeshwa haiogofi km inavyovumishwa! Km footage hiyo isingetumika rahisi kwa wazushi kuamini kuwa opereshen za moyo, kubadilidha valve zinaweza kufanywa na hospitali ya Muhimbili, kwani kizazi cha sasa cha wazushi, ni cha kulalamika kwa kila kitu, wapenda vitu vya mkato-mkato bila ya kutoa jasho, na kimejawa na kasumba ya utegemezi hasa kutoka nje... hakijiamini kama kinaweza kufanya makubwa kwa kutumia bongo zao.
 
...not that how u think, kasome media laws. Sio tort tu

Media laws basic concepts zake hazijajikita kwenye maafa kama ya kufa, kuzimia etc -endangering human life from seeing those terrible pictures and the remedy thereafter. Media laws sana sana zinajikita kwenye media ethics-un ethical practices and the like!
 
Kasome Law of tort, utakuta kitu kinaitwa nervous shock! Just do this homework and you will notice that ITV are behaving un professionally in that aspect and can be liable for damage(s) arising from nervous shock !
sio kila mtu anaweza kusoma au anajua hiyo Law of Tort kwa hiyo ilikuwa wajibu wako kumwelimisha ili ajue afanyeje siku nyingine anapokumbana na vitu kama hivyo
 
mbona hazikuwa zinatisha??? sijui lakini mimi niliona za kawaida tu
 
sio kila mtu anaweza kusoma au anajua hiyo Law of Tort kwa hiyo ilikuwa wajibu wako kumwelimisha ili ajue afanyeje siku nyingine anapokumbana na vitu kama hivyo

Sijamlaumu hata kidogo. Ila alisifia ITV kama vile wako very professional ndio nikampa mfano kuwa kuna kitu wanakikosea kama alivyosema mtoa mada. Ni kweli wachache sana wanajua haya mambo ya sheria hasa kama hii ambayo imejificha, tunaelimishana. Simkejeli maana nami sio mwanasheria ila napenda kusoma sheria for leisure!
 
Watoto wenyewe wanaangalia movie za mazombie....

Daaaah umenena ukweli mtupu.... Nadhani za mazombie ni hatari kuliko zile za ITV, ila kisheria ITV wanapaswa kutoa tahadhari mapema
 
Mbona bongo movie na mapicha yao ya ajabu ajabu hamuongei!your just a st......p......d

Acha uongo mkuu!! Lini bongo movie wameonyesha picha za kutisha kama hizo? Teknolojia hiyo bado hawajafikia, wao wapo kwenye kuonyesha picha za nusu utupu
 
Mmmhh!kumbe hiyo Television bado ipo!!!!!
 
Media laws basic concepts zake hazijajikita kwenye maafa kama ya kufa, kuzimia etc -endangering human life from seeing those terrible pictures and the remedy thereafter. Media laws sana sana zinajikita kwenye media ethics-un ethical practices and the like!

...very sure, lakini what i wanted to show u, ni kwamba kuna vitu ambavyo hawa wanahabari wako protected by that law, (although it would be unethical sometimes)
 
...very sure, lakini what i wanted to show u, ni kwamba kuna vitu ambavyo hawa wanahabari wako protected by that law, (although it would be unethical sometimes)

Ni sawa wako protected, lakini sidhani kama wako protected kwa kusababisha mtu afe kwa shock ya kuona picha za kutisha. ndio maana CNN, BBC huwa wanatanguliza onyo kuwa these graphics might be unpleasant, kama huwezi stahimili usiziangalie. Tuko pamoja, you are right.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom