Hivi ITV wako serious kweli??

Hivi ITV wako serious kweli??

SONGOKA

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
1,836
Reaction score
1,845
katika taarifa ya habari bila hata kutoa tahadhari kua picha zitazo onekana ni za kutisha na si nzuri kwa watoto under 18,
wamerusha taarifa ya operation ya moyo muhimbili ikimuonyesha mgonjwa akiwa amepasuliwa wazi wazi na kabla sijamaliza kushangaa, wanaonyesha taarifa ya ajali majerui wakiwa wameumia vibaya,akiwemo mama aliyekatika mdomo kabisa...
taarifa kama hizi zinahitaji tahadhari kabla...acheni ukanjanja..Joyce Mhavile upo.
 
katika taarifa ya habari bila hata kutoa tahadhari kua picha zitazo onekana ni za kutisha na si nzuri kwa watoto under 18,
wamerusha taarifa ya operation ya moyo muhimbili ikimuonyesha mgonjwa akiwa amepasuliwa wazi wazi na kabla sijamaliza kushangaa, wanaonyesha taarifa ya ajali majerui wakiwa wameumia vibaya,akiwemo mama aliyekatika mdomo kabisa...
taarifa kama hizi zinahitaji tahadhari kabla...acheni ukanjanja..Joyce Mhavile upo.

Ndilo tatizo la wanahabari wetu, poor training. Wanaweza sababisha nervous shock! kwa picha za kutisha bila kutoa taarifa.
 
Kumbe wewe uko kwa akina kanjanja, huku ni Mengi bana.

Kasome Law of tort, utakuta kitu kinaitwa nervous shock! Just do this homework and you will notice that ITV are behaving un professionally in that aspect and can be liable for damage(s) arising from nervous shock !
 
Leo nimechelewa sijaangalia taarifa ...... ila sio vizuri kuonyesha picha kama hizo bila tahadhali
 
Kasome Law of tort, utakuta kitu kinaitwa nervous shock! Just do this homework and you will notice that ITV are behaving un professionally in that aspect and can be liable for damage(s) arising from nervous shock !

Mbele ndo wanauwezo wa kufanya haya mambo, wanajua sana haki zao. Ila bongo tunaona upotezaji wa muda
 
katika taarifa ya habari bila hata kutoa tahadhari kua picha zitazo onekana ni za kutisha na si nzuri kwa watoto under 18,
wamerusha taarifa ya operation ya moyo muhimbili ikimuonyesha mgonjwa akiwa amepasuliwa wazi wazi na kabla sijamaliza kushangaa, wanaonyesha taarifa ya ajali majerui wakiwa wameumia vibaya,akiwemo mama aliyekatika mdomo kabisa...
taarifa kama hizi zinahitaji tahadhari kabla...acheni ukanjanja..Joyce Mhavile upo.

hizi mambo huwa hatujszoea kuonesha ndo maana na pia hatujali pia..
 
Hasa wakina mama na akina dada wanaweza zimia kabisa!
 
Hivi Aljazeera wao huwa wanafanyaje kwa picha kama hizo?
 
Kasome Law of tort, utakuta kitu kinaitwa nervous shock! Just do this homework and you will notice that ITV are behaving un professionally in that aspect and can be liable for damage(s) arising from nervous shock !

...not that how u think, kasome media laws. Sio tort tu
 
Ni kweli, ITV walipaswa kutoa tahadhari kabla ya kuonesha picha zile.
 
Tafadhali picha tutakazo onyesha si nzuri kwa watoto
simple wameshindwa nn kusema hivi khaa
 
huwa wanatoa tahadhar labda kwa jana walptwa au kwao hawakuona kama znatsha
 
We unayesema tukasome media laws, utupe ada .
yachuo. Itv ni super brand nambali moja tz wengine nimakanjenje tu
 
Mbona bongo movie na mapicha yao ya ajabu ajabu hamuongei!your just a st......p......d
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom