Hivi ISIDINGO ina mahusiano gani na ITV?

Hivi ISIDINGO ina mahusiano gani na ITV?

Yaani tangu nipo sekondari na sasa nishazeeka! Duh! Mie ni mpenzi wa series lakini kwa staili hii hapana! And thanks God, si moja ya series ambayo nimapata kuwa addicted nayo!
 
Mbona wilisha kufa watatu ninao wajuwa mmoja alikufa kwa accident ya gari.
Hata kama sifahamu idadi, but for Isingo am certain hata 10+ watakuwa wamefika! Don' forget, Isidingo imeanza during the analogy age where access to information was limited...
na hata ilipoanza TZ, haikuwa ndo walikuwa wanaanza. kwahiyo ilikuwa watu wakidanja huko, huku Bongo hatufahamu!
 
Sijawahi ona tamthilia ndefu kama hii ya isindiko nakumbuka hii tamthilia nimeanza kuiona nikiwa mdogo alipo fariki hayati baba wa taifa mwaka 1999 mpka leo mwaka 20017
 
Sijawahi kuielewa
Hata mimi nilikuwa siielewi kama wengi wenu,kuna jamaa yangu ikifika muda wa kipindi cha Isidingo hata kama yuko safarini atatafuta sehemu yeney ITV ili asipitwe na kipindi,nilianza kumsindikiza na akawa ananisimulia mlolongo wa matukio ya tamthiliya hiyo,tangia kipindi hicho mimi ni mlevi wa Isidingo kumzidi hata yeye,hakuna Tamthlia yoyote katika media za Tanzania yenye akili kama Isidingo,pia angalia type ya watu wanaoifuatilia na kuielewa utagundua kitu,tofautisha na watu wanaopenda Bongo movies,cinema za rambo ,za kinajeria etc utapata jibu.
 
Last edited:
hakuna Tamthlia yoyote katika media za Tanzania yenye akili kama Isidingo,pia angalia type ya watu wanaoifuatilia na kuielewa utagundua kitu,tofautisha
Isidingo ni series nzuri sana, imetarget middle class kwa maana ya education na style ya maisha. Hivyo ni ngumu sana kwa mtu ambaye ana disadvantage ya elimu kuipenda Isidingo. Hivyo mtu asikimbilie kusema kitu flani hakifai bila kujutathamini mwenyewe.

Waigizaji wengi wa Isidingo ni wasomi kwa ngazi ya degree moja mpaka mbili na director wao pia. Ndio maana wameweza kusimama miaka yote hiyo na quality haipungui.
 
Kama huangalii ISIDINGO basi unapitwa na mengi sana...

Jaribu kuifuatilia hata wiki moja kama utaiacha kuiangalia..

Nisipoiangalia siku za kawaida lazima nivizie marudio yake weekend..
Ya jumamosi usiku baada ya hawavumi lakini wamo huwa inanihusu sana
 
Sijawahi kuielewa
Tatizo mshazoea tamthilia zenu za kifilipino na Mexico ambazo mwisho wake unajulikana, unakutana na mapenzi ya mtoto wa tajiri na maskini...mapenzi yananoga.. badae yanaingiliwa na kutiwa misukosuko toka upande wa mtoto tajiri...mwisho wa picha hao wapenzi wataoana....
Isidingo hujui kesho kitatokea nini sawa na wewe tufunge camera za kukufuatilia hatujui kesho utafanya nini
 
Sijawahi ona tamthilia ndefu kama hii ya isindiko nakumbuka hii tamthilia nimeanza kuiona nikiwa mdogo alipo fariki hayati baba wa taifa mwaka 1999 mpka leo mwaka 20017
Kama sijakosea hiyo ilikuwa ni mwaka mmoja tokea Isidingo kuanza.
 
Tangu navishwa nepi ipo tu..ISIDINGO ni sheedah
 
jamani calvin yaani natamani kujua atafikia wapi,
 
Back
Top Bottom