Duh!!"Huku nakoishi jamaa mmoja ameuliwa siku ya Christmas kisa wivu wa mapenzi. Binti kakuta sijui msg kamtandika jamaa kisu.
Huyo Bwana Yupo Kenya Alifunga Ndoa Na Mkewe!!Mimi naomba tu kujua yalomkuta jamaa wa kwenye pic tafadhali, aaaarrgh' tusiopo IG mengine yanatupita tu kimya kimya kama upepo..!!
Mimi naomba tu kujua yalomkuta jamaa wa kwenye pic tafadhali, aaaarrgh' tusiopo IG mengine yanatupita tu kimya kimya kama upepo..!!
Bora kuachana kwa kweli maana hii sio hali ya ubinadamu kabisa alafu alivyojibu sasa kama sio yeye vile.Wanawake tukiamua ni balaa
Watu mkishindwana na hakuna maelewano ndani ya nyumba muachane au mpeane break
Mtu nnaempenda siwezi mdhuru hata kama kaniudhi kiasi gani
Kweli mkuuThere's a very thin line between love and hate
na ukiwaamini tu umeishaNina miaka 6 sasa siwaamini tena hawa wadogo zake na Eva/Hawa maana sijui ni maneno gani mengine waliongea na Shetani.
Mwanamke akiamua kuwa katili ni hatari zaidi imagine uyo katega mpaka shoti ya umeme wtfWomen are soo dangerous. Nawaogopa sana hawa viumbe kiasi natathmin kila atua zake.
Daah inasikitisha sana, kuna watu wana roho ngumuHivi inawezekanaje kufanya unyama kama huu kwa mtu unayempenda?
Hivi inawezekanaje kufanya unyama kama huu kwa mtu unayempenda?
Kwa mujibu wa mtaalamu wa Psychiatry, magonjwa ya akili miongoni mwa wakina mama walioko kwenye ndoa ni mengi sana na yanawasababishia kufanya mabaya kwa wenzi wao, mfano ndo kama huu hapa: Picha hii inamuonesha mwanaume mmoja nchini Kenya ajulikanae kwa jina la Dan Shisia Matakhaya, mwenye...www.jamiiforums.com
Dah hadi nimeona wivu, ngoj nizingatie ushaur wa mleta mada.I agree with you 100%....Ila aomba mnisamehe kidogo, nakiri kwa kusema kuwa HAKUNA zaidi ya mke wangu, sijapata ona.
Daah inasikitisha sana, kuna watu wana roho ngumu
Kamuharibia na maisha mwenzakeKuna watu ni hatari zaidi ya wanyama kaka wa watu alikuwa yupo tu vizuri mwanamke kaja kamharibu vibaya mno
Nchi nliopo wanauana kama kuku. Jamaa kamkaba demu mpaka kafa na yeye kajinyonga, mwingine jamaa kaenda kulewa na demu wake baada ya kulewa demu kamwagia dizeli kamchoma moto mpaka kufa. Cases ni nyingi. Mwingine manzi kamfungia jamaa ndani ya nyumba kamwaga petroli kamchoma jamaa....Huku nakoishi jamaa mmoja ameuliwa siku ya Christmas kisa wivu wa mapenzi. Binti kakuta sijui msg kamtandika jamaa kisu.
Umemalizia vizuri mno, kosea vyote sio kuoa au kuolewa~ Mke ni baraka
~ Mke ni mlango wa mafanikio
~ Mke anakuletea watoto unaheshimika kama mwanaume
~ Unapokwama mke anasimama usifedheheke
~ Linapokupata jambo la aibu na fedheha mke anakuwa kama mtandio kukufunika ile aibu ikuondoke
Lakin narudia tena lakini jikague kabla hujaoa. Jiangalie ulikopita, vivuli vya tulikopita hutufwata tuendapo.
Kama unaona kuna mahali uliharibu kupitiliza na hujasolve zile tofauti mara mia usioe, kaa tu kama alivyokuwa marehemu Ruge. Maana huyo unayesema she is the right one she might be your death sentence.
Ndoa ni njema na nzuri lakini sio kila mmoja wetu ataoa au kuolewa.
NB: Namuhurumia sana mwamba kwenye picha lazima akikaa anasema labda ningemuoaga flani haya yasingenikuta but too late
View attachment 1675935
Kusoma kilichomsibu jamaa ingia >>> Hivi inawezekanaje kufanya unyama kama huu kwa mtu unayempenda?
Dear men jifunzeni kumtaja Mungu, ombeni sana kabla hamjaoa na waswahili husema mchagua Nazi huangukia koroma.
Kamuharibia na maisha mwenzake
Hongera kwa kubahatika.I agree with you 100%....Ila aomba mnisamehe kidogo, nakiri kwa kusema kuwa HAKUNA zaidi ya mke wangu, sijapata ona.
Nathani nilimkuta huyo Dada pale gogoni kama sio huyo basi nilikutana na kesi kama hiyo pale gogoni. Ni Dada mdogo tu, nilipopewa story nilimhurumia sana.Huku nakoishi jamaa mmoja ameuliwa siku ya Christmas kisa wivu wa mapenzi. Binti kakuta sijui msg kamtandika jamaa kisu.
Kengeza utaita chongo..ndio mapenzi yalivyo. Na wahenga walisema, kimfaacho mtu chake.I agree with you 100%....Ila aomba mnisamehe kidogo, nakiri kwa kusema kuwa HAKUNA zaidi ya mke wangu, sijapata ona.