Hivi inawezekana?

Joel360

JF-Expert Member
Sep 21, 2013
981
631
jamani nilikuwa naomba kuuliza kwa wataalamu wa haya masuala na yeyote mwenye ujuzi kwamba inawezekana kuhama kimfumo kutoka kwenye simu inayotumia android kuibadilisha iwe inatumia windows phone os

natanguliza shukrani
 
jamani nilikuwa naomba kuuliza kwa wataalamu wa haya masuala na yeyote mwenye ujuzi kwamba inawezekana kuhama kimfumo kutoka kwenye simu inayotumia android kuibadilisha iwe inatumia windows phone os

natanguliza shukrani

Ni kitu ambacho hata kikifanyika sio official , ni utundu utundu. Na ukifanikisha kubadilisha simu hiyo haitakuwa stable. Kutakuwa na tatizo la drivers na operation zingine.

Kuna watu wameweka windows xp pc version kwenye kifaa cha android lakini ni kwaajili ya kujifurahisha tu.
 
inabidi uwe na simu za developers kama nexus yoyote ile, Nokia n9, n900 na n950, htc hd7 na baadhi ya simu maarufu kama galaxy s3 na xiaomi mi4

mfano hio xiaomi mi4 official inaweza kuweka windows 10 ya simu, microsoft wameiport wenyewe.
 
Ni kitu ambacho hata kikifanyika sio official , ni utundu utundu. Na ukifanikisha kubadilisha simu hiyo haitakuwa stable. Kutakuwa na tatizo la drivers na operation zingine.

Kuna watu wameweka windows xp pc version kwenye kifaa cha android lakini ni kwaajili ya kujifurahisha tu.
inamaana itashindwa kufanya kazi stahiki?
 
inabidi uwe na simu za developers kama nexus yoyote ile, Nokia n9, n900 na n950, htc hd7 na baadhi ya simu maarufu kama galaxy s3 na xiaomi mi4

mfano hio xiaomi mi4 official inaweza kuweka windows 10 ya simu, microsoft wameiport wenyewe.
simu za developer zina tofauti gani na simu za kawaida?
 
zipo kama za kawaida lakini bootloader yake inakuwa imefunguliwa na haiekewi vipingamizi vya ovyo, ila si mambo rahisi kama unavyofikiria siku zote kueka os nyengine kwenye simu inataka ujue unalofanya
Simu za developers zinapatikana hapa Tz?
 
Back
Top Bottom