Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,816
- 8,664
tangu niumwe miguu chin ya unyayo naenda hospital napewa dawa zile zile kila siku acha tu maumivu ya giza usiombee
Mganga wa Isack Newton alikuwa anaitwa nani ?Hata Isack Newtown, alikuwa na mganga, sembuse wewe. Life is a game, play it.
Unalogaje?silogei mapenzi as sipendi kugandwa aisee
nalogea pesa
Unalogaje?
Umeolewa?kama bado nicheki pm tuyajenge mana naona tunaendana.kuloga kuna faida
nisingekuwa naloga ningekuwa nasugua benchi mpaka leo
ni imani tu kama anaeamini kanisani au msikitini
Muambie. Mfalume "Shauli"yalipomsibu alienda kwa MgangaKama hayajakukuta kaa kimya ndugu.
Kaa kimya
Umeolewa?kama bado nicheki pm tuyajenge mana naona tunaendana.
#MaendeleoHayanaChama
Uganga ni utapeli wa kiwango cha juu sana.
Nasubiri conclusion yako baada ya kuwa umepata majibu mengi.Katika Maisha haya nimewahi kuwa na marafiki wengi ila kwa vipindi tofauti tofauti ila huyu wa sasa sijamuelewa kabisa. Yani mshikaji wangu huyu kila kitu kikitokea yeye Huwaza ni ushirikina.
Basi juzi aliniaga anaenda mahali ila hakuniambia ni wapi jana katika kupiga piga stori mara akaniambia alienda kwa mganga eti Kuna mtu anachezea nyota yake daaaaaa nilimsikitikia maana sikutegemea kama msomi na kijana kama yeye bado atakuwa gizania kiasi hiki.
Mi naelewa kuwa mafanikio nimatokeo ya namna unavyojituma ila sio ndumba wala ushirikina. Je wewe unaamini mambo ya waganga au kuloga
Tunaanzaga temporary the mengine yanakua ni story.Mume ninae na mchepuko wa kudumu yupo
Labda ujisogeze Kama temporary
Dah kwa stahili hii mume tuseme na yeye ana mchepuko ..mchepuko wa mume wako na wenyewe umeolewa au una mpenzi. Mume/mpenzi wake na huyo na mchepuko wa mumeo ana mchepuko wake ambapo huo mchepuko wake una mpenz/mke wake uko ..na wewe una mchepuko wako wa kudumu ambao na wenyewe utakuta una mke/mpenzi wake ..na mke/mpenzi wa mchepuko wako na yeye ana mchepuko wake wa kudumu ..na kuhusu status yako ya afya mkuu mtakuwa salama kweli???Mume ninae na mchepuko wa kudumu yupo
Labda ujisogeze Kama temporary
ukinifuatilia mimi unapoteza muda ambao ungeweza kufanya mambo ya msingi zaidiDah kwa stahili hii mume tuseme na yeye ana mchepuko ..mchepuko wa mume wako na wenyewe umeolewa au una mpenzi. Mume/mpenzi wake na huyo na mchepuko wa mumeo ana mchepuko wake ambapo huo mchepuko wake una mpenz/mke wake uko ..na wewe una mchepuko wako wa kudumu ambao na wenyewe utakuta una mke/mpenzi wake ..na mke/mpenzi wa mchepuko wako na yeye ana mchepuko wake wa kudumu ..na kuhusu status yako ya afya mkuu mtakuwa salama kweli???
Naomba unijibu haya maswali mawili tu halafu utapata majibu ya maswali yako unayojiuliza kila siku.Katika Maisha haya nimewahi kuwa na marafiki wengi ila kwa vipindi tofauti tofauti ila huyu wa sasa sijamuelewa kabisa. Yani mshikaji wangu huyu kila kitu kikitokea yeye Huwaza ni ushirikina.
Basi juzi aliniaga anaenda mahali ila hakuniambia ni wapi jana katika kupiga piga stori mara akaniambia alienda kwa mganga eti Kuna mtu anachezea nyota yake daaaaaa nilimsikitikia maana sikutegemea kama msomi na kijana kama yeye bado atakuwa gizania kiasi hiki.
Mi naelewa kuwa mafanikio nimatokeo ya namna unavyojituma ila sio ndumba wala ushirikina. Je wewe unaamini mambo ya waganga au kuloga
Hongera Ushimen kwa kumpa ukweliRafikiyako mshirikina na wewe rafikiyake ni mnafiq na mbea.
Haya ulio yaandika hapa, kwanini usinge muambia rafiki yako..!!??
Yeye endelea na uzuzu wako siku yakija kukufika ndo utajua hujui.Katika Maisha haya nimewahi kuwa na marafiki wengi ila kwa vipindi tofauti tofauti ila huyu wa sasa sijamuelewa kabisa. Yani mshikaji wangu huyu kila kitu kikitokea yeye Huwaza ni ushirikina.
Basi juzi aliniaga anaenda mahali ila hakuniambia ni wapi jana katika kupiga piga stori mara akaniambia alienda kwa mganga eti Kuna mtu anachezea nyota yake daaaaaa nilimsikitikia maana sikutegemea kama msomi na kijana kama yeye bado atakuwa gizania kiasi hiki.
Mi naelewa kuwa mafanikio nimatokeo ya namna unavyojituma ila sio ndumba wala ushirikina. Je wewe unaamini mambo ya waganga au kuloga