Alagwa
Member
- May 30, 2012
- 95
- 84
Katika Maisha haya nimewahi kuwa na marafiki wengi ila kwa vipindi tofauti tofauti ila huyu wa sasa sijamuelewa kabisa. Yani mshikaji wangu huyu kila kitu kikitokea yeye Huwaza ni ushirikina.
Basi juzi aliniaga anaenda mahali ila hakuniambia ni wapi jana katika kupiga piga stori mara akaniambia alienda kwa mganga eti Kuna mtu anachezea nyota yake daaaaaa nilimsikitikia maana sikutegemea kama msomi na kijana kama yeye bado atakuwa gizania kiasi hiki.
Mi naelewa kuwa mafanikio nimatokeo ya namna unavyojituma ila sio ndumba wala ushirikina. Je wewe unaamini mambo ya waganga au kuloga
Basi juzi aliniaga anaenda mahali ila hakuniambia ni wapi jana katika kupiga piga stori mara akaniambia alienda kwa mganga eti Kuna mtu anachezea nyota yake daaaaaa nilimsikitikia maana sikutegemea kama msomi na kijana kama yeye bado atakuwa gizania kiasi hiki.
Mi naelewa kuwa mafanikio nimatokeo ya namna unavyojituma ila sio ndumba wala ushirikina. Je wewe unaamini mambo ya waganga au kuloga