YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Mji wa Nazareth Israel ndio Mji mkubwa ndani ya Israel wenye waarabu waislamu wengi. Waislamu katika mji huo Ni asilimia 70 ya wakazi wote wa mji huo. Misikiti ipo mingi na hawana ugomvi na Wayahudi huishi nao kwa amani na utulivu. Huwezi kuta mwarabu muislamu akimsema vibaya myahudi Wala Huwezi kukuta myahudi akimsema vibaya mwarabu muislamu. Wanaishi kwa amani na upendo Sana
Swali langu hivi waarabu waislamu wapalestina kwa nini hawaelewani na Wayahudi na wanawachukia tofauti na wa Nazareth?
Swali langu hivi waarabu waislamu wapalestina kwa nini hawaelewani na Wayahudi na wanawachukia tofauti na wa Nazareth?