Hivi inakuwaje kwenye kila familia kuna mtu mmoja anayesumbua sana?

Hahaahaa nakumbuka nilikua nasumbua nyumbani mpaka nikawa kero kwelikweli..nlikuwa mtu nsiependa shule mtaa mzima..lkn matokeo yakija top three nlikuwa sikosi..nakumbuka nlikuwa napewa zawadi shule kila mwisho wa mwaka..mzee akawa akinipa kisago anasema najisahihishia mitihan..nakumbuka nliwahi Rudi na zawadi ya madaftari na peni mshua akanipa kisago akasema bila Shaka umeibia wenzio..kumbe nimepewa zawadi..Sasa kimbembe Nina watoto wawili now huyu mmoja mpaka kichwa kinauma yan nikimaliza siku mbili bila kesi nashukuru sana ..maana wiki iliyopita kamwagia masofa maji ya betri yan unamnyuka anamwambia haiumi..
Species of the same Cultivur vumilia tuu Mkuu kama Baba yako alivyo vumilia

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂ujue kila mtu ana umuhimu wake asa kama msumbufu hayupo familia si inapoa mtakosa ata story za kupiga...
 
hata kwetu yupo mmoja tunasubiri Mungu atende muujiza,Ni kweli kabisa, ni more of spiritual inatakiwa tuanze kuwakabidhi watoto wetu kwa mungu toka ujauzito kuwaombea sana, na kutokubali warithi chochote hata jina la ndugu yoyote
 
Umenigusa yaani nilikuwa nasumbua balaa si nyumbani si shuleni Ila watukutu uwa tunatoboa maisha mnajifanya wapole mwishowe tunawazidi pesa na ujanja mtaani.
Hapana sio kweli.
Wengi huishia kuwa majambazi na wezi.
Hayo mengine ni kujipa moyo.
 
Dogo wangu Yuko hivi! Ana miaka 25 Ni tour guide ila Sasa akipiga pesa zake za utalii Ni pombe,na wanawake akiishiwa anarudi home,Hana nyumba kazalisha wanawake huko karatu Kila siku Ni Mimi na mama tunapigiwa simu haswa kipindi hichi Cha korona Hanna kazi za utalii

Dogo alikua akipata hela Ni pombe na kut*m*bn tu!
Hana Hata baiskeli nimeshakaa na bimkubwa tumuachie dunia imfundishe ila mama bado analidekeza tu! Sijui limemumloga?

Yaani hasara tupu, ashukuru Mungu mama yetu anampenda bila hivyo ungekuta lipo jalalani manake
Kanirudisha nyuma sana
 
Back
Top Bottom