Duuh Noma SanaYan jana tu nmetoka kutukanwa na kaka...yan huyo anataka akihitaji pesa utume...usiseme huna
Majuzi alikuwa anadaiwa kodi akataka pesa....mbona tulitukanwa kwakuwa htujamtumia
Yn yeye familia yake ikikosa chkula anapiga cm...akiwa na shds anpga sim
Ila naamini n hpo kweny kunpa mtot majina y kurith...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Mungu mwenyewe yupo shetani itakuwa ww mwanadamu ?Kama mke watoto wawili mmoja lazima ni kuumiza watu kila siku, mkiwa watatu lazima yupo na akiwa mmoja mara nyingi anasumbua.
Sasa huko UK royal family Prince Harry na Andrew hatare
Inategemeana na kichwa chako na familia yako uliyotokea. Wengi naowajua street wameishia kuwa na maisha yasiyoelewekaUmenigusa yaani nilikuwa nasumbua balaa si nyumbani si shuleni Ila watukutu uwa tunatoboa maisha mnajifanya wapole mwishowe tunawazidi pesa na ujanja mtaani.
Unachekesha weweUmenigusa yaani nilikuwa nasumbua balaa si nyumbani si shuleni Ila watukutu uwa tunatoboa maisha mnajifanya wapole mwishowe tunawazidi pesa na ujanja mtaani.
Hii ni kweli kabisa lazima awepo mzinguaji Mimi dogo langu la mwisho kila siku napigiwa simu polisi.
sisi tupo watatu,sasa anaenifata nikampigia cm nikamwambia"mpe mzee elfu 50 nitakurudishia baada ya wiki 1"dogo akasema poa,
yeye sasa akabadirisha picha,akamwambia mzee hivi "kaka nimemwambia akutumie elfu 50 alafu mm ntamrudishia"mzee akamjibu sawa,
Mzee ananipigia simu ananiuliza "mbona hutumi hela na muda unaenda"nikamuuliza hujapewa na dogo akasema mdogo wako kasema ww ndo utanitumia hela,
Ikabidi nijiongeze fasta nikatuma ili nisimuonyeshe mzee kama dogo kafanya uhuni kubadilisha maagizo yangu
Huyo mdogo wangu ni mtata alafu hajali wazazi wetu na pesa anazo za kutosha lkn hana msaada hata kidogo kwa wazee wake,hana mtoto wala mke ni kujirusha tu mshenzi huyu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanakua wasumbufu ila kichwani zimo. Kuna wengine sasa wanasumbua balaa na akili hawana sasa ndio inakua shida mara mbili. Hasa inapotokea msumbufu halafu aongezee ulevi/bange/madawa yaani inakua kaazi kweli kweli kwa familia. Mimi nina mifano ya familia 4 za karibu kabisa (watoto wa baba wakubwa/wadogo) yaani kila moja ina mtu wa kuwasumbua. Kwenye familia yetu alikua ni bro wangu ila sasa kabadilika kawa malaika.Umenigusa yaani nilikuwa nasumbua balaa si nyumbani si shuleni Ila watukutu uwa tunatoboa maisha mnajifanya wapole mwishowe tunawazidi pesa na ujanja mtaani.