samesame
Senior Member
- Jul 21, 2019
- 143
- 323
Waziri Mkuu alitoa siku tano ripoti iwe imetoka. lakn mpaka sasa ni siku 11 na binafs sijasikia taarifa yeyote kuhusu tukio hilo zaid zaid nasikia majeruhi ndio wanazidi kupukutika. toka vifo vya watu 69 had leo wamefikia 99. hizo ni ripoti rasmi za serikali.
Kwa akili zangu ndogo kuna watu walipaswa kujiuzuru kuonyesha uwajibikaji kwa kauli ya waziri mkuu. maana lile ni tangazo kwamba kuna watu hawajafanya wajibu wao kuzuia atahari zile. je ni kwamba hawajijui au dharau?
Wasi wasi wangu na hili wanaweza lipotezea kama walivyopotezea ripoti ya matukio mengine. swali langu agizo la waziri mkuu limepuuzwa? waziri mkuu akitoa amri hadharani isipotekelezwa kwa muda husika ni kushusha hadhi ya waziri mkuu mbele ya raia. kama waziri mkuu anaweza ongea na utekelezaji ukawa ziro nani atasikilizwa?Kwa akili zangu ndogo kuna watu walipaswa kujiuzuru kuonyesha uwajibikaji kwa kauli ya waziri mkuu. maana lile ni tangazo kwamba kuna watu hawajafanya wajibu wao kuzuia atahari zile. je ni kwamba hawajijui au dharau?