Freddy81
Member
- Feb 3, 2009
- 99
- 3
Habari wana JF,
Mimi lengo langu kuu ni kutaka kujua ile ndege ambayo Mr. Ben aliinunua wakati wa mwishomwisho wa utawala wake inafanya kazi au ndo hivyo ipo juu ya mawe? Kuna tetesi kuwa hiyo ndege haifanyi kazi..sina uhakika.
Kama kuna mwana JF ajua kuhusu hili basi aliweke hadharani.
Tujulishane basi kama ni bovu au zima.
Na je? Jamaa akiwa zake katika sfari za kikazi huwa anaitumia?
Mimi lengo langu kuu ni kutaka kujua ile ndege ambayo Mr. Ben aliinunua wakati wa mwishomwisho wa utawala wake inafanya kazi au ndo hivyo ipo juu ya mawe? Kuna tetesi kuwa hiyo ndege haifanyi kazi..sina uhakika.
Kama kuna mwana JF ajua kuhusu hili basi aliweke hadharani.
Tujulishane basi kama ni bovu au zima.
Na je? Jamaa akiwa zake katika sfari za kikazi huwa anaitumia?