The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,463
- 13,474
Anakotokea iringa ndiko nimezaliwa alikuwa rpc babu yake babu yangu akiwa mkuu wa wilayaAcha uongo
Unamjua Zakaria Hans pope wewe?
Anakotokea iringa ndiko nimezaliwa alikuwa rpc babu yake babu yangu akiwa mkuu wa wilayaAcha uongo
Unamjua Zakaria Hans pope wewe?
Aliekuwa RPC ni baba yake SIO babuAnakotokea iringa ndiko nimezaliwa alikuwa rpc babu yake babu yangu akiwa mkuu wa wilaya
Hii naikumbuka sana, alafu ilikua inahadithiwa jinsi alivyokua anapenda kula nyama za watu, labda alikua anakula mbele ya Camera za Televisheni ya Taifa maana kila mtu aliiadithia kama vile alimwona.Tuliaminishwa huyu Mwamba "Eti aliwaalika walemavu viwete kwenye sherehe akawapandisha kwenye tipa akaenda kuwamwaga mtoni,😁
mara ohhh alikuwa anakula nyama za watu😁
mara ohhh jamaa alimuuwa mtoto wake alietaka kumpindua madarakani,😁
Kubwa kuliko ni ile yakujipa vyeo vya kijeshi Kila mwezi mpaka akafika renk ya u Field Marshal 😁
Wazungu ni watu wa kisasi sana ukipata muda soma historia ya Haiti, jinsi weusi walivyo wauwa wakoloni wa kifaransa. Wakoloni waliuliwa kwa kuwafanyia mateso mpaka leo Haiti wanaifanyia figisu. Hata wamefikia kuikata nusu upande Haiti na upande Dominican Republic. Hii vita ya kagera Nyerere kafanya kwa kuwa furahisha walio msaidia kumuweka madarakani. Kama utasoma vyema history ya Tanzania na ugomvi wa Nyerere na Kambona utajua kama Nyerere alikuwa kibaraka wa uingereza.Kwa hii picha kweli JK alitumika. Kuna mbulula bado zina amini propaganda za mwaka 70. Huenda hata hakutuvamia. Nani anaweza kuthibitisha kuwa tulivamiwa zaidi ya JK.
Hakunaga mwamba mwingine barani Africa aliebebwa na wazungu zaidi ya IDD Amin Dada mla watu. Eti alikuwa anakula watu na alimla mkewe. Dunia hii!
Upumbavu mtupu.
Hata kama Iddi Amini alikuwa mzuri kwa namna na watu wengine, kwetu sisi WATANZANIA alikuwa mtu mbaya kupitiliza. Alikuwa adui yetu namba moja. Kuvamilia ardhi yetu kwa nia ya kujimilikisha tena kwa kuwaua mashujaa wetu bila huruma, kiwango cha juu cha Unyama.
Nakujua sana wewe. Ni mdini, mvaa kobazi kindakindaki. Hata uzuri wa Amin unautafuta kwa sababu alikuwa Ustadhi mavi.