Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Toka nimeanza kusikia kitu kinaitwa mahakama ya ICC na Mtu anaitwa Moreno Okampo kesi nyingi ni kuhusu viongozi wa Africa tu. Au mahakama hii inatumika kama mkono wa Europ kuwaadhibu viongozi wa Africa wanaoonekana kuingilia maslahia yao?