kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,086
- 10,406
Huyu mchezaji wa timu ya Taifa stars bwana KAWAWA ambaye amezaliwa Sweden nauliza Kwa serikali ya CCM je ameukana uraia wake?
Ili iweje?Huyu mchezaji wa timu ya Taifa stars bwana KAWAWA ambaye amezaliwa Sweden nauliza Kwa serikali ya CCM je ameukana uraia wake?
Kwani hujui kuwa mtu anachezea timu ya taifa ambayo yeye ni raia wa nchi hiyo..!!?Ili iweje?