Hivi huyu Mario ni nani?

Achana na hiyo,sikiliza for you


Anakwambia
"Kwa kuwa nafaraja moyoni,hata nikikosa kujaza tumbo kwa vichipsi sijali
Vile jinsi nafuraha moyoni nahisi kushiba nitamgea kautumbo katanitosha kaugali"
Ipo siku nitamdediketia Don Clericuzio


Wow huu mzuri nadhani hauhitaji basata😍 hongera zake Don kadedicatiwa for you dah si ataringa sana huyu 😛

Don Clericuzio njoo uone Dedication yako from the beautiful gal J
 
Achana na hiyo,sikiliza for you


Anakwambia
"Kwa kuwa nafaraja moyoni,hata nikikosa kujaza tumbo kwa vichipsi sijali
Vile jinsi nafuraha moyoni nahisi kushiba nitamgea kautumbo katanitosha kaugali"
Ipo siku nitamdediketia Don Clericuzio



Aisee, kwa hiyo ndo umeshanidedicate tayari au nisubiri siku maalum?
 
Sema style ya uimbaji na bit zake zinafanana so ni rahisi kupotea haraka kwake, kidogo alichange kwenye wimbo aliomshiriksha shomajoz
 
Yuko vzr kabisa...hii ngoma ya mama amina ikipigwa club ina vibe sana...halafu watu wanaitikia "kubabaakoo"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom