Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,758
- 156,823
Hahaha ameimba hivyo sababu tunapenda, ona unataka kwenda kupsikilizaTobaa hivi kweli kaimba hivo au mnamsingizia tu jamani wimbo unaitwaje nikajionee hayo maneno
Hahaha ameimba hivyo sababu tunapenda, ona unataka kwenda kupsikilizaTobaa hivi kweli kaimba hivo au mnamsingizia tu jamani wimbo unaitwaje nikajionee hayo maneno
Nao ni watuThank you ntaucheki! Maana siamini kama kwa mashairi hayo Basata wamepita kimyaa
Achana na hiyo,sikiliza for you
Anakwambia
"Kwa kuwa nafaraja moyoni,hata nikikosa kujaza tumbo kwa vichipsi sijali
Vile jinsi nafuraha moyoni nahisi kushiba nitamgea kautumbo katanitosha kaugali"
Ipo siku nitamdediketia Don Clericuzio
Hahaa mimi nataka niconfirm kama kweli kaimba hivo wala sipendi mkuu😀😀Hahaha ameimba hivyo sababu tunapenda, ona unataka kwenda kupsikiliza
Unamaanisha nao huenda wameupenda eeh?😂Nao ni watu
Haha mama amina siupendi balaa, sijawahi hata kuwaza niulizie aliyeimba....umekaa kimpalange mpalangeHahaa mimi nataka niconfirm kama kweli kaimba hivo wala sipendi mkuu
Habari ndio hiyoUnamaanisha nao huenda wameupenda eeh?
Hee mi kiukweli nauona mzuri unachezeka japo sijafatilia mashairi yake, nampenda sho madjozi aliyeimba humo piaHaha mama amina siupendi balaa, sijawahi hata kuwaza niulizie aliyeimba....umekaa kimpalange mpalange
HahaahhWow huu mzuri nadhani hauhitaji basata😍 hongera zake Don kadedicatiwa for you dah si ataringa sana huyu 😛
Don Clericuzio njoo uone Dedication yako from the beautiful gal J
Wow huu mzuri nadhani hauhitaji basata😍 hongera zake Don kadedicatiwa for you dah si ataringa sana huyu 😛
Don Clericuzio njoo uone Dedication yako from the beautiful gal J
Achana na hiyo,sikiliza for you
Anakwambia
"Kwa kuwa nafaraja moyoni,hata nikikosa kujaza tumbo kwa vichipsi sijali
Vile jinsi nafuraha moyoni nahisi kushiba nitamgea kautumbo katanitosha kaugali"
Ipo siku nitamdediketia Don Clericuzio
Hongera the chosen one! With all people over here mmh, basi hapo bichwa litakua kuubwaa(😉)joke kidogoNimeona aisee, it's wonderful!
SafiiNinauweka huu wimbo kwenye repeat mode, mpaka asubuhi.
Asante.
Achana na hiyo,sikiliza for you
Anakwambia
"Kwa kuwa nafaraja moyoni,hata nikikosa kujaza tumbo kwa vichipsi sijali
Vile jinsi nafuraha moyoni nahisi kushiba nitamgea kautumbo katanitosha kaugali"
Ipo siku nitamdediketia Don Clericuzio
Anamuimbia manzi wakeAnaimba vizuri lakini ile mistari ya kuimba "mwanzako nawashwawashwa" next time asiimbe tena aisee.
Mtaani kwetu wanaitikia kum@m@k0000000Yuko vzr kabisa...hii ngoma ya mama amina ikipigwa club ina vibe sana...halafu watu wanaitikia "kubabaakoo"