Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,809
- 156,946
Kuna watu wanabebwa na midia bure tu hawana kiwango cha MariooMariooo hajawahi kutoa boko..
Dogo anajua sana..
Saiv nabang na For you..bonge la production
Kuna watu wanabebwa na midia bure tu hawana kiwango cha MariooMariooo hajawahi kutoa boko..
Dogo anajua sana..
Saiv nabang na For you..bonge la production
Hata wao wanachomekeaDuh Basata hawakuiona hii verse ?
Chomeka chomoa mwenzako nawashwaaa..jinsi pale katikati patamu..ohoo patamuNi aibu huwezi sikiliza aisee, hawa wasanii wetu kutumia maneno ya busara hawawezi basi tafrani tu
Tobaa hivi kweli kaimba hivo au mnamsingizia tu jamani 🤔😛 wimbo unaitwaje nikajionee hayo maneno 🙆♂️Chomeka chomoa mwenzako nawashwaaa..jinsi pale katikati patamu..ohoo patamu
Kamarioo kameanza uhuni..
Kwenye mama amina yule dada msouth aliyeimba mwisho (Bontle Smith) kawapoteza sana mule ndani kaimba vzrAisee huyu dogo ni genius wa muziki wa bongo.
Nyimbo za vilio vya mapenzi yuko poa. Sikiliza INATOSHA na UNANIONEA utanielewa.
Nyimbo za kuruka sikiliza MAMA AMINA. Nyimbo za kufurahia penzi sikiliza FOR YOU
Huyu dogo atafika mbali sana narudia tena kusema hili. Naiona nidhamu ya hali ya juu kwa management yake na ana mashairi ya peke yake na midundo inafanya muziki wake usikuchoshe kuusikiliza.
Aisee huyu dogo ni level nyingine
Unaitwa Mama AminaTobaa hivi kweli kaimba hivo au mnamsingizia tu jamani wimbo unaitwaje nikajionee hayo maneno
Yote kwa yote ila dogo anajitahidi kutembea na soko.Kwenye mama amina yule dada msouth aliyeimba mwisho (Bontle Smith) kawapoteza sana mule ndani kaimba vzr
Thank you ntaucheki! Maana siamini kama kwa mashairi hayo Basata wamepita kimyaa😀Unaitwa Mama Amina
HahahThank you ntakucheki! Maana siamini kama kwa mashairi hayo Basata wamepita kimyaa
Kawapoteza mpaka kucheza amapiano, na week kama mbili zilizopita alikuja Tz alikua maison...nae ni miongoni mwa wadada wana hit S.A pamoja na Kamo mphelaxKwenye mama amina yule dada msouth aliyeimba mwisho (Bontle Smith) kawapoteza sana mule ndani kaimba vzr
Hakya Mungu kutoboa enzi za Domo ngumuYote kwa yote ila dogo anajitahidi kutembea na soko.
Yaani kutusua enzi hizi za domo ni ngumu sana. Lakini dogo amejitahidi kupenya mpaka kufikia hapo alipo. Naamini akizidisha bidii na kuendelea kutulisha kitu masikio inapenda, ni star mkubwa wa hapo mbele
Wewe si unaona kila anayejitahidi ni mwendo wa kuangukia pua tuKawapoteza mpaka kucheza amapiano, na week kama mbili zilizopita alikuja Tz alikua maison...nae ni miongoni mwa wadada wana hit S.A pamoja na Kamo mphelax Hakya Mungu kutoboa enzi za Domo ngumu
Yaani nikiplay huo wimbo youtube huwa naangalia tu hicho kipande cha Bontle Smith. Nakipenda sana.Kawapoteza mpaka kucheza amapiano, na week kama mbili zilizopita alikuja Tz alikua maison...nae ni miongoni mwa wadada wana hit S.A pamoja na Kamo mphelax Hakya Mungu kutoboa enzi za Domo ngumu
Tena ukitoboa ndo utashushwa kwa speed ya 4GWewe si unaona kila anayejitahidi ni mwendo wa kuangukia pua tu
Na lile mshape la kizuluYaani nikiplay huo wimbo youtube huwa naangalia tu hicho kipande cha Bontle Smith. Nakipenda sana.
Kajitahidi sana akitaka kushuka ajihusishe na Team flaniHawataki utani kabisa. Ila dogo amechomoka ni yeye tu kujitahidi asishuke
Achana na hiyo,sikiliza for youThank you ntaucheki! Maana siamini kama kwa mashairi hayo Basata wamepita kimyaa😀
Thank you ntaucheki! Maana siamini kama kwa mashairi hayo Basata wamepita kimyaa