The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,397
- 12,981
Wadau naomba kuuliza hivi huyu Joeseph Mhagama ni nani...!!? Binafsi ndiyo nimemsikia kwa mara ya kwanza. Imekuwaje akapewa kazi kubwa kama hii...!!?
Binafsi sikuwahi kumsikia mpaka sasa kwenye hii kamati ya Bunge. Lakini kwa mtazamo wangu naona kama vile amewekwa pale kwa agenda maalumu. Amekuwa akiingilia sana na kukatisha watu wakati wanatoa maoni yao kwenye kamati. Hii tayari imeshaanza kuonyesha mwelekeo na nia ya serikali kuhusu.
Huyo Mwenyekiti kaonyesha wazi kuwa alikuwa anafanya kazi yake kwa maelekezo toka juu ,,,,.. Wajumbe wengi hawakupewa uhuru kutoa mapendekezo yao. Wengi walikuwa wanaingiliwa ingiliwa au kukatizwa ili wasiwalishe vizuri.
Hizo 4R za Maza ni mazingaombwe kazini kuelekea 2025....!!
Binafsi sikuwahi kumsikia mpaka sasa kwenye hii kamati ya Bunge. Lakini kwa mtazamo wangu naona kama vile amewekwa pale kwa agenda maalumu. Amekuwa akiingilia sana na kukatisha watu wakati wanatoa maoni yao kwenye kamati. Hii tayari imeshaanza kuonyesha mwelekeo na nia ya serikali kuhusu.
Huyo Mwenyekiti kaonyesha wazi kuwa alikuwa anafanya kazi yake kwa maelekezo toka juu ,,,,.. Wajumbe wengi hawakupewa uhuru kutoa mapendekezo yao. Wengi walikuwa wanaingiliwa ingiliwa au kukatizwa ili wasiwalishe vizuri.
Hizo 4R za Maza ni mazingaombwe kazini kuelekea 2025....!!